nimepigiwa simu na mtu namba zake ni za Airtel katika kuongea kaaza kunitukana sasa ninataka kujua huyu mtu ni nani nitumie njia gani kumpata
...............
...........
Someone else once said: "Nobody can make you inferior without your consent"
Nitumie namba yake kwenye PM kuna jirani anafanya Airtel nitakutumia jina lake na anakoishi.
So simple ndugu yangu,
Sajili namba yako kwenye huduma ya AirTell PESA then jaribu kutuma hela kwenye hiyo namba automatic jina la huyo mtu litakuja.
Kwa kampuni yoyote ya simu siku hizi ni rahisi sana kujua namba ya mtu kwa njia hiyo.
Hiyo ni trial and error,kama huyo mtu ajasajili huduma ya airtel pesa hauwezi jua jina na unaweza mfaidisha kupata hela,nenda katoe malalamiko yako ofisi za airtel.
Kampuni hairuhusu kutoa taharifa za mteja...labda kama huyo jamaa ataamua kwenda polisi,kisha polisi wakaja kufuatilia taharifa za huyo mtu (kiaamidili zaidi)