Mwendawazimu2
Member
- Nov 29, 2010
- 54
- 5
Najua uko bize siku hizi. Sometimes hujatandika kitanda, natafuta mashuka mwenyewe, natandika. Sometimes hujaniwekea maji bafuni, nachemsha mwenyewe napeleka. najua uko bize ndo maana nakusaidia.
Leo ni siku ya nne, unyumba sijapata kwa sababu uko bize na ukuja kulala unakuwa umechoka. Hili nalo nitakusaidia, ila please usiniulize kwa nini nimerudi hom nina harufu ya perfume ambayo haipo hapo kwenye kameza ketu, nilikuwa nakusaidia, kwa sababu nakupenda...
Leo ni siku ya nne, unyumba sijapata kwa sababu uko bize na ukuja kulala unakuwa umechoka. Hili nalo nitakusaidia, ila please usiniulize kwa nini nimerudi hom nina harufu ya perfume ambayo haipo hapo kwenye kameza ketu, nilikuwa nakusaidia, kwa sababu nakupenda...