Nitajuaje Kama Niko kwenye list Credit Reference Bureau Tanzania?

Kiazi Kitamu

Senior Member
Feb 16, 2013
122
125
Asalaaam wanajamvi! Kuna kitu kinaitwa Credit Reference Bureau kinahusika na list ya madeni yasiyolipwa na kuripotiwa kwao kutoka taasisi za kifedha(wakopeshaji)
Nahitaji kufahamu haya yafuatayo:-

1. Je nitajuaje Kama Niko kwenye list ya CRB. Na taasisi zilizo ripoti Jina langu.

2. Je nitafutaje mkopo na Jina langu kwenye ripoti ya taasisi za CRB?

Msaada wenu tafadhali
 
Asalaaam wanajamvi! Kuna kitu kinaitwa Credit Reference Bureau kinahusika na list ya madeni yasiyolipwa na kuripotiwa kwao kutoka taasisi za kifedha(wakopeshaji)
Nahitaji kufahamu haya yafuatayo:-

1. Je nitajuaje Kama Niko kwenye list ya CRB. Na taasisi zilizo ripoti Jina langu.

2. Je nitafutaje mkopo na Jina langu kwenye ripoti ya taasisi za CRB?

3.Je nitajuaje kama mashoga na wao wanawekwa kwenye orodha hiyo?

4.Je na mabasha wao?

Msaada wenu tafadhali



Duh ndo nini kaka?

mashoga tena?

halafu unafuta baada ya kustukiwa
 
Asalaaam wanajamvi! Kuna kitu kinaitwa Credit Reference Bureau kinahusika na list ya madeni yasiyolipwa na kuripotiwa kwao kutoka taasisi za kifedha(wakopeshaji)
Nahitaji kufahamu haya yafuatayo:-

1. Je nitajuaje Kama Niko kwenye list ya CRB. Na taasisi zilizo ripoti Jina langu.

2. Je nitafutaje mkopo na Jina langu kwenye ripoti ya taasisi za CRB?

Msaada wenu tafadhali
Msaada wenu
 
Umeongelea kuhusu credit bureaus, je inahusika na watu binafsi au pamoja na makampuni. Kuna kampuni zimeshindikana katika suala la kulipa madeni.
 
Asalaaam wanajamvi! Kuna kitu kinaitwa Credit Reference Bureau kinahusika na list ya madeni yasiyolipwa na kuripotiwa kwao kutoka taasisi za kifedha(wakopeshaji)
Nahitaji kufahamu haya yafuatayo:-

1. Je nitajuaje Kama Niko kwenye list ya CRB. Na taasisi zilizo ripoti Jina langu.

2. Je nitafutaje mkopo na Jina langu kwenye ripoti ya taasisi za CRB?

Msaada wenu tafadhali
CRB ni mfumo rejea wa mikopo. Ni mikopo yote iliyolipika na isiyolipika (hata kama bado ni mkopo endelevu unaolipwa kwa wakati). Kama umekopa benki au taasisi rasmi za ukopeshaji jina lazima liwekwe kwa ajili ya rejea. Hii taarifa huwezi kuitoa hata kama umelipa
 
Back
Top Bottom