UNENE ULIOZIDI (Overweight): uzito wako ulitakiwa kuwa kati ya kilo 57.3 mpaka 77.1
Haya nitajie 2.1m,42kgMkuu hapa sifanyi utabiri, kama unahisi hiki kinachofanyika hapa ni utabiri, basi nenda hospitali yoyote unayoiamini hapa Tanzania au nje ya nchi wakakufanyie calculations hizi, halafu uje utoe testimony hapa JF.
Kaanzishe thread yako na hilo chart lako, acha wenye shida wasaidiwe.....
Wewe ni MUNGU? acha kujitoa ufahamu. Hujalazimishwa kufuatilia thread hii.
Ukitaka kupata Dose ya ARVs, ALU (Dawa mseto ya malaria), Quinine n.k n.k ukifungua internate unazipata. Je umewahi kujiuliza kwanini watu wanaenda Hospitali wakati Google ipo? Za kuambiwa changanya na za kwako. Acha wenye shida wasaidiwe bure kabisa, hapa hakuna mashindano ya nani anajua na nani hajui. Halafu ukiona thread haikuvuti ondoka.
NB: Katiba pendekezwa ipo kila kona, ni kiasi cha kusoma na kusubiri kupiga kura. Lakini umewahi jiuliza ni kwanini Jaji Warioba na wengineo wanaendesha midahalo ya katiba ili kuwaelimisha wa TZ? Kwani wa TZ hatujui kusoma? Narudia tena wewe kama unafahamu waache wenzako wasidiwe.
Ukitaka kupata Dose ya ARVs, ALU (Dawa mseto ya malaria), Quinine n.k n.k ukifungua internate unazipata. Je umewahi kujiuliza kwanini watu wanaenda Hospitali wakati Google ipo? Za kuambiwa changanya na za kwako. Acha wenye shida wasaidiwe bure kabisa, hapa hakuna mashindano ya nani anajua na nani hajui. Halafu ukiona thread haikuvuti ondoka.
NB: Katiba pendekezwa ipo kila kona, ni kiasi cha kusoma na kusubiri kupiga kura. Lakini umewahi jiuliza ni kwanini Jaji Warioba na wengineo wanaendesha midahalo ya katiba ili kuwaelimisha wa TZ? Kwani wa TZ hatujui kusoma? Narudia tena wewe kama unafahamu waache wenzako wasaidiwe.
wewe acha kujifanya unajua sana.kwenye vituo vya avya zipo takwimu zilizo fanyiwa utafiti wa kitabibu kuonyesha ukiwa na urefu fulani unatakiwa uwe na kilo zisizo pungua.cha msingi kama unazo ziweke hapa kila mtu afaidi
hahaha!!! wacha swaga za kiganga. aibu ishakushika kuona watu wanajua formula. kwa hiyo ulikuwa unajiona mjanja eh!!??
Watanzania hamuishi vituko; pima urefu wako toka kwenye kisigino cha mguu hadi juu ya utosi wako wa kichwa. Uzito ni wa mwili wako. Haya leta majibu ujue hali yako ya lishe.
yada yada yada!Minyoo inayopatikana kwa Nguruwe (Taenia solium) inafahamika madhara yake kwa Binadamu. Lakini kwanini kila siku watu wanatoa elimu ya kula Nyama ya Nguruwe iliyoiva, pia kutoacha Nguruwe kuzagaa mitaani? Kwani uki-google elimu hiyo hutaipata. Kila kitu kipo wazi mkuu, na siyo kila kitu kinafahamika na kila mtu. Angalia usije ukapata Neurocysticercosis kwa kushupaza shingo.
jinga hilo.
Mkuu urefu wangu 172cm, weight 78kg
Mambo ya BMI au! Okey!
Height=5'10 or 1.55 meter
Weight=62g.
urefu 5.4kg 105