Nitajie shule za Private kuzunguka mkoa wa Dar es Salaam

October man

JF-Expert Member
Nov 23, 2017
3,635
5,000
Anayejua Shule za private zisizo na majina makubwa zilizopo DSM na pembezoni mwa mkoa wa Dar es Salaam.

1) Upande wa kusini; maeneo ya kutoka Mbagala rangitatu mpaka mkuranga.

2) Upande wa kaskazini; kutoka DSM mpaka Kibaha.

3) Magharibi; kutokea ukonga mpaka kisarawe.

Kama unaijua shule yoyote ya Private katika maeneo tajwa na jinsi ya kufika kwake nielekeze.

Zile ambazo hazifaamiki sana itakuwa vizuri.
 
Biashara yako inaendeleaje kwanza? Tukianzia banana Kuna air wing, gospel campaign, kitunda Kuna Mzinga, Mbonea na nyingine nyingi zaidi ya ishirini, Gongo la Mboto Kuna high view, Thomas, Gongo la Mboto , tukienda majohe Kuna majohe na nyingine tatu nimesahau majina chanika kuna shule zaidi ya kumi na tano.shule zote nilizotaja ni secondary nilizifahamu kipindi natembeza bahasha ya kaki
 
Biashara yako inaendeleaje kwanza??? Tukianzia banana Kuna air wing,gospel campaign,kitunda Kuna mzinga,mbonea na nyingine nyingi zaidi ya ishirini,gongo la mboto Kuna high view,Thomas,gongo la mboto ,tukienda majohe Kuna majohe na nyingine tatu nimesahau majina chanika kuna shule zaidi ya kumi na tano.shule zote nilizotaja ni secondary nilizifahamu kipindi natembeza bahasha ya kaki
Safiii

Sijawai fanya Biashara bali kusaka Mtaji wa Biashara ndio nimefanya.
 
Anayejua Shule za private zisizo na majina makubwa zilizopo DSM na pembezoni mwa mkoa wa Dar es Salaam.

1) Upande wa kusini; maeneo ya kutoka Mbagala rangitatu mpaka mkuranga.

2) Upande wa kaskazini; kutoka DSM mpaka Kibaha.

3) Magharibi; kutokea ukonga mpaka kisarawe.

Kama unaijua shule yoyote ya Private katika maeneo tajwa na jinsi ya kufika kwake nielekeze.

Zile ambazo hazifaamiki sana itakuwa vizuri.
Gift Skillful high school kutoka KIBAHA apo n nzur Sana'a
 
Back
Top Bottom