TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,817
- 3,142
Naandika moyo wangu ukiwa unavuja damu juu ya vifo vya kikatili vilivyowatokea watanzania Clemence na Joshua.
Namuomba Mungu aendelee kuzikumbatia familia zao na kuwapa faraja kuu.
Nimemsikiliza moja ya ndugu wa Joshua akielezea namna serikali ambavyo haikuipa uzito suala ya vijana hawa wa Tanzania baada ya taarifa ya awali kabisa ya shambulio hilo la tarehe 07.10.2023.
Nimeitafsiri kwamba kwa sababu walikuwa ni watoto wa nobody ndio maana kulikuwa hakuna jitihada zozote za kuwezesha wao kupatikana wakiwa mateka au wamekufa hasa kwa upande wa Joshua inauma sana kujulishwa ndugu yako amefariki lakini mwili wake haujulikani ulipo😭
Inauma zaidi kusikia mateka wa nchi nyingine walofanikiwa kurudishwa makwao baada ya jitihada za serikali zao husika.
Najiuliza serikali ya Tanzania kuanzia balozi mpaka wizara ya mambo ya nje walikuwa wanafanya nini kipindi chote hicho cha miezi miwili mpaka leo wanaieleza familia ya Joshua kwamba alifariki 07.10.2023 na mwili wake haujulikani ulipo😭😭😭😭😭😭 hii sio sawa kabisa inauma na uchungu wake haubebeki
Nimevaa viatu vya familia ya Joshua havinitoshi😭😭😭😰😰😰
Tuwaombee pumziko la amani vijana wetu🙏🏻🕯️
Namuomba Mungu aendelee kuzikumbatia familia zao na kuwapa faraja kuu.
Nimemsikiliza moja ya ndugu wa Joshua akielezea namna serikali ambavyo haikuipa uzito suala ya vijana hawa wa Tanzania baada ya taarifa ya awali kabisa ya shambulio hilo la tarehe 07.10.2023.
Nimeitafsiri kwamba kwa sababu walikuwa ni watoto wa nobody ndio maana kulikuwa hakuna jitihada zozote za kuwezesha wao kupatikana wakiwa mateka au wamekufa hasa kwa upande wa Joshua inauma sana kujulishwa ndugu yako amefariki lakini mwili wake haujulikani ulipo😭
Inauma zaidi kusikia mateka wa nchi nyingine walofanikiwa kurudishwa makwao baada ya jitihada za serikali zao husika.
Najiuliza serikali ya Tanzania kuanzia balozi mpaka wizara ya mambo ya nje walikuwa wanafanya nini kipindi chote hicho cha miezi miwili mpaka leo wanaieleza familia ya Joshua kwamba alifariki 07.10.2023 na mwili wake haujulikani ulipo😭😭😭😭😭😭 hii sio sawa kabisa inauma na uchungu wake haubebeki
Nimevaa viatu vya familia ya Joshua havinitoshi😭😭😭😰😰😰
Tuwaombee pumziko la amani vijana wetu🙏🏻🕯️