Ukomo wa uongozi ni jambo bora na lenye demokrasia kwa ngazi yoyote katika chama cha siasa na hata chama cha kuweka na kukopa. Kama hakuna watu wengine wanaoweza kushika nafasi kubwa katika chama, basi hapo kuna udhaifu mkubwa kwa viongozi waliokuwepo. Katiba za vyama vyote hususan vya siasa ziwe na vipengele vya ukomo wa uongozi.
Naomba na ningependa Kamanda Mbowe aache legacy na kuingiza ama kupendekeza kipengele hiki katika katiba yao...kama bado kuna nafasi ya kufanya hivyo!!
Naomba na ningependa Kamanda Mbowe aache legacy na kuingiza ama kupendekeza kipengele hiki katika katiba yao...kama bado kuna nafasi ya kufanya hivyo!!