Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,906
- 150,212
Na ukijaribishaa magari tofauti na mjapanii hutojutiaa...Kweli kabisa atamimi nipo rafiki yangu alinunua kampuni tofauti na Toyota paka leo unaenda mwaka wa 6 hajawahi kubadilisha spear zaidi ya service ya kumwaga oil