Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 2,477
- 3,111
mkuu elezea kidogo..mfano kitu gani kikiharibika na bei yake!! naitaji kujua na fuel consumption yakeMimi namiliki Nissan Dualis 2008. What I can say ni it’s the best purchase I have ever made. Gari liko smooth on the road, posh inside yaani na ukipata ile ya rooftop kuwa na glass yaani ni kama unaendesha evogue. Pia iko juu sana. Nina kama mwaka sasa niko na hili gari, changamoto zake ni spare ni VERY EXPENSIVE...