Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
Au ikiwezekana weka hapa hapa pia haina neno so atleast na wengine wajifunze mfano kwa siku unapata kiasi gani na kwa week unapata kiasi gani na kwa week inafanya kazi siku ngapi na kwa mwezi inafanya kazi siku ngapi,na inaanza kazi saa ngapi na ina maliza saa ngapi haya yote nadhani n8 ya muhimu sanaa kwa mtu ambaye kama mimi tukielewana then nijue namna ya kudeal na hao watu maana wanadanganya sanaa ttaffic wakati uongo mtupu.....