Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Siku moja mlevi alipanda daladala iendayo Gongo la Mboto kwa kujikokota na akakaa karibu na bibi kizee mmoja. Bibi kizee akamwangalia yule mlevi toka juu hadi chini na kisha kumwambia "Mwanangu, nataka nikwambie kitu, wewe utaenda moja kwa moja jehanamu". Mlevi kusikia hivyo, akang'aka na kusema " Ahsante Bibi kwa kunisitua. Konda nishushe mie siendi jehanamu naenda Gongo la Mboto"