Mtemikwila
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 1,388
- 1,058
Duh, kimeo
Wimbo gan huo wa blue kasema ivyomi naiependa ya baraka da prince,ben paul na Mr blue...jaman blue hatar kamchana x wake asione wivu eti wake steve..nkajisemea Naj si yuko na baraka vijembe gani hvi jaman.
af sijui inakuwaje unakuta jitu linamiaka 25 linakuwa kama toto kufatilia team yupo tayar kutukana tusi la mama kisa msanii wake kapondwa inaboanashukuru kwa ufafanuzi,nachukia sana uteam
kumbe uliusikiliza maana uliuona mbaya kabla ya kuusikiliza. Pole kwa usingizi kugomaJamani ule wimbo ni mbaya kias kwamba nimeuskiliza jana saa sita nilichelewa hadi kulala yaan usingizi uligoma hadi saa kumi hivi. Promo iliuzidi wimbo
*ukweli utatuweka huru
Unaitwa MWAMBIE.Wimbo gan huo wa blue kasema ivyo
Ooh wimbo mzuri huo ila haujapenya na kupigwa sana kwny mainstream sijui kwannUnaitwa MWAMBIE.
Nina utaratibu kwamba nikiisikia nyimbo kwa mara ya kwanza kama sijaupenda basi usitegemee ntaupenda tena,yaani nilivo huwa sio mtu wa kulazimishwa kama watu wengine ambao ili aupende wimbo ni lazima asikilize mara nyingi ndio ataupenda(wanakalilishwa hadi wanakalili).jana niliposikiliza nyimbo yao hiyo kiukweli ni mbaya saaaaana,midundo ni mibovu na hata sauti zao ni mbovu kupindukia hata Hawasikiki maana ni full sound effect.sasa kwa hali hii tutashindana na akina wizkid,dovido kweli?
Hahahakumbe uliusikiliza maana uliuona mbaya kabla ya kuusikiliza. Pole kwa usingizi kugoma
ile nayo mbaya msanii hajui kizungu alichoimba akieleweki ushaur wako mbayaNyimbo mbovu hii bora inodae ni nzuri na cjui kwa nn hakuipa promo inodae
afu unakuta linashabikia utadhani wanajuanaaf sijui inakuwaje unakuta jitu linamiaka 25 linakuwa kama toto kufatilia team yupo tayar kutukana tusi la mama kisa msanii wake kapondwa inaboa