boaz ngara
Member
- Feb 29, 2012
- 16
- 1
kuna dada ambaye nimetokea kmpenda sana anaishi bali nami kidogo,niliweza kupata namba yasimu tukawa tunawasiliana vizuri na japo mi namfahamu ye2 alikuwa hanijui nimeweza kufunga safari na kufika anapo fanyia kazi hakuweza kunikalibisha ndani kwake tofauti na kuwa mkali.huku akihoji niliko toa namba,naakidiliki kusema nifute namba yake kwenye sim yangu,na bado nampenda nifanyeje