Naombeni mawazo ya kuandika barua ya kuahurisha mtihani wangu wachuo, coz nimepata msiba.
kama kuna mtu anayo aindike tu mimi nitabadilisha baadhi ya vitu.
wanajamvi nisaidieni.
kwa kiingereza au kiswahili?mmmh! Alaf upo chuo gani hicho mpaka unashindwa kuandika barua??! Hukusoma 'communication skills' ambayo kila 1st yr student ktk chuo chochote kile kinachotambulika ni lazma aisome?! Anyways,sbr kdg nikadese ntarudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.