Jamani wanajamii wenzangu,
Embu nisaidieni mawazo.
Mimi ni binti wa miaka 34 very attractive, nafanya kazi nina elimu yangu na ni mkristu mzuri. Tatizo ni kwamba ninaishi mbali na watu wa familia yangu na mimi sio mtu wa kujichanganya sana, baada ya kuwa na uhusiano na vijana wawili na kukuta ni matapeli nimeamua sitaki tena uhusiano na mwanaume labda awe mchaga mwenzangu ni hi kwa sababu wale matapeli walikuwa wenyeji wa huku ninakoishi.
Tatizo kubwa sasa hivi nimekuwa mpweke sana yani ninataka kuwa mwenyewe muda wote nimepanga nyumba nzima sikai hata na house girl, siendi kwa mtu wala sikaribishi tena mtu kwangu nikitoka kazini sa nane sitoki ndani hadi kesho yake, hata rafiki akiniita out natoa excuse ya uongo, weekend natoka kuosha gari na kusali tu,bat list JamiiForums is my near friend and Jesus whom i talk to everytime.
Je, hii hali ni ya kawaida, nifanye nini?
Embu nisaidieni mawazo.
Mimi ni binti wa miaka 34 very attractive, nafanya kazi nina elimu yangu na ni mkristu mzuri. Tatizo ni kwamba ninaishi mbali na watu wa familia yangu na mimi sio mtu wa kujichanganya sana, baada ya kuwa na uhusiano na vijana wawili na kukuta ni matapeli nimeamua sitaki tena uhusiano na mwanaume labda awe mchaga mwenzangu ni hi kwa sababu wale matapeli walikuwa wenyeji wa huku ninakoishi.
Tatizo kubwa sasa hivi nimekuwa mpweke sana yani ninataka kuwa mwenyewe muda wote nimepanga nyumba nzima sikai hata na house girl, siendi kwa mtu wala sikaribishi tena mtu kwangu nikitoka kazini sa nane sitoki ndani hadi kesho yake, hata rafiki akiniita out natoa excuse ya uongo, weekend natoka kuosha gari na kusali tu,bat list JamiiForums is my near friend and Jesus whom i talk to everytime.
Je, hii hali ni ya kawaida, nifanye nini?