mactal
Member
- Nov 14, 2016
- 71
- 95
Habari za jioni wana jamii wenzangu.
Naombeni msaada mwenzenu napitia kipindi kigumu sana cha msongo wa mawazo, nahitaji mtu wa kukaa tukaongea tu nimechoka na sasa naogopa kukaa ndani peke yangu. Nilijitahidi nibadilishe mazingira lakini bado hali imegoma kukaa sawa.
Kusali nasali sana na biblia pia nasoma ila baada ya muda mawazo yananirudia, hali hii pia inachagizwa na hulka yangu mimi ni mpole sana hivyo mimi kutokua mtu wa kujichanganya sana na watu (watu wangu wa karibu nakosa nguvu ya kuongea nao kwa sababu nisiwaumize).
Naomba Msaada wa mawazo tafadhali, asanteni sana Mungu awabariki.
Naombeni msaada mwenzenu napitia kipindi kigumu sana cha msongo wa mawazo, nahitaji mtu wa kukaa tukaongea tu nimechoka na sasa naogopa kukaa ndani peke yangu. Nilijitahidi nibadilishe mazingira lakini bado hali imegoma kukaa sawa.
Kusali nasali sana na biblia pia nasoma ila baada ya muda mawazo yananirudia, hali hii pia inachagizwa na hulka yangu mimi ni mpole sana hivyo mimi kutokua mtu wa kujichanganya sana na watu (watu wangu wa karibu nakosa nguvu ya kuongea nao kwa sababu nisiwaumize).
Naomba Msaada wa mawazo tafadhali, asanteni sana Mungu awabariki.