BLISS
Member
- Mar 31, 2011
- 54
- 12
jamani naombeni mnijulishe dawa ya meno naumwa na meno yote kinywani yaani hayataki kutafuna kitu najaribu kupiga mswaki but sipati nafuu sielewi ni nini tatizo, maana yako 2 yaliotoboka lakini nashangaa yanauma yote sielewi ni ugonjwa gani, wataalamu naomba mnishauri dawa itakayoweza kunisaidia,
mbarikiwe
mbarikiwe