<br />Si vizuri kuwahukumu hawa tu kwani uzembe wa viongozi wetu wote ndio utamaduni wetu. List ya ajali za barabarani zilizotokea Tanzania tangu MV Bukoba ni ndefu sana lakini utaona kuwa zote zinajirudia kila kukicha. Tiba ya ugonjwa wetu siyo kunywa apsirini na kuendelea na shughuli za kila siku, bali tunahitaji operation na kulazwa wodini kwa muda wa siku kadhaa kabla hatujaanza shughuli zetu tena.
<br />Atajiuzuru, atajiudhuru au atajidhuru?
Waziri wa miundombinu wa zanzibar hamad masud mh.Hamad Masudi amesema yupo tayari kujiuzuru
Sosi:bbc
Anasubiria tume ? nini maana ya kujiuzuru sasa ?
Kama tume ikionyesha ana kosa , huyo si wa kujiuzuru tena , bali wa KUFUKUZWA
<br /><b><span style="font-family: comic sans ms"><font size="4"><font color="#800080"><br />
waambie maana wengine hawajui kuyatumia haya maneno. kujiuzulu ni hatua ya awali kupisha uchunguzi huru. uchunguzi huru ukifanyika ukiwa hujajiuzulu, kifuatacho ni kutimuliwa kazini au mwenyewe kuacha kazi kabla hujatimuliwa.<br />
<br />
ni makosa makubwa sana kusubiri mpaka utajwe, ukitajwa utatoka kwa aibu kuu.</font></font></span></b>
Ndio maana nikatoa maoni niliyotoa ili kuvunja huo ukuta wa "hatuna utamaduni huo". Hatuna utamaduni kwa sababu vyeo kwetu si dhamna bali ni "mtaji kutokana na ajira chafu".Bro,hatuna utamaduni huo,,,yeye kasema anasubiri TUME,na iwapo tu atatajwa kwenye taarifa ua TUME<br />
<br />
Maana halisi hasa ya kujiuzulu ni kuheshimu na kukubaliana na utawala wa sheria,hivyo timiza wajibu wako kwa maana halisi ya uwajibikaji. Kama dhamira yako inakusuta basi hapo inabidi ujiuzulu. Lakini kama utasubiri uchunguzi na halafu ukakutwa na hatia basi hapo si kujiuzulu tena ila itakuwa umewajibishwa kwa kufukuzwa kazi.
Mh waziri ni muda muafaka sana huu wa kujiuzulu na wala usingoje hadi ufanyike uchunguzi. Onyesha ukomavu wa kisiasa kwa chama chako cha CUF na serikali ya mseto (CCM + CUF). Chukua hatua mh waziri.
NOTE:
Usisahau kuacha kutumia huduma za vodacom, tena utangaze hadharani kwani wameidharau sana Zanzibar hawa jamaa wa vodacom. Nakuomba sana mh waziri paza sauti yako ya juu mataifa yoote yakusikie, hapo utakuwa umeacha angalau historia ya kufanya watu wa Zanzibar wakukumbuke kwa hilo. Paza sauti kubwa na unene kwa kuwaambia wazanzibar wakataeni vodacom kwa kitendo chao cha dharau. Kataeni kiabisa kutumia huduma zao.
Kwa Tanzania hili la mwisho ndio lafaa zaidi. Kwani ukijiuzulu unajidhuru bure tu hakuna uwajibikaji hapa.Atajiuzuru, atajiudhuru au atajidhuru?
<br />Kwa Tanzania hili la mwisho ndio lafaa zaidi. Kwani ukijiuzulu unajidhuru bure tu hakuna uwajibikaji hapa.
<br />Ndio maana nikatoa maoni niliyotoa ili kuvunja huo ukuta wa "hatuna utamaduni huo". Hatuna utamaduni kwa sababu vyeo kwetu si dhamna bali ni "mtaji kutokana na ajira chafu". <br />
<br />
Ni mangapi hayakuwa utamaduni wetu na leo tumeyakumbatia? Au ni kusema tunaiga yale tu ya kukosa heshima kama mavazi, heshima kwa wazazi n.k? <br />
<br />
Kwa mtu mwenye heshima na haya zake, kwa tukio kama hili anajiondoa hata kama hakuhusika moja kwa moja, anajiondoa kwa sababu hakubaliani na mfumo wa kulindana, anajiondoa ili kupisha uchunguzi huru. Kwa mtu mwenye utu na heshima zake anaona aibu kwa tendo analolifanya mwengine.
jamani ni kujiuzuluBukanga ni kujiudhuru,,,,,,,,nadhan<br />
<br />
Waziri wa miundombinu wa zanzibar hamad masud mh.Hamad Masudi amesema yupo tayari kujiuzuru
Sosi:bbc
Asante sana mkuu.bali tunahitaji operation na kulazwa wodini kwa muda wa siku kadhaa kabla hatujaanza shughuli zetu tena.
yaani mpaka ithibitike, si ajipime mwenyewe tu.Waziri wa miundombinu wa zanzibar hamad masud mh.Hamad Masudi amesema yupo tayari kujiuzuru
Sosi:bbc
kumbe sometimes zipo kichwani mwako eeeh!Kwa kuweka rekodi sawa, Mwinyi hakuwajibishwa, aliwajibika. Na barua ya kujiuzulu ilisifika kwa kiswahili fasaha alichotumia. Ni aghalabu sana viongozi wa Afrika kuwajibika kwa kujiuzulu, Mwinyi aliweka mfano Tanzania.