ushapeleka Cv apo Opposite na Chuo cha CBENatafuta kazi nipo maeneo ya Posta hapa kama kuna ofisi inahitaji mfanyakazi hapa posta naomba nipe direction nije na CV yangu.
Kazi ya kuuza duka, sales, kampuni, call center nk
Nakutumia direction PM.Natafuta kazi nipo maeneo ya Posta hapa kama kuna ofisi inahitaji mfanyakazi hapa posta naomba nipe direction nije na CV yangu.
Kazi ya kuuza duka, sales, kampuni, call center nk
Kweli wadogo zetu mnamtihani kwelikweli,Yaani umetoka nyumbani hujui hata ofisi Gani utapitia,kazi kwelikweli!Natafuta kazi nipo maeneo ya Posta hapa kama kuna ofisi inahitaji mfanyakazi hapa posta naomba nipe direction nije na CV yangu.
Kazi ya kuuza duka, sales, kampuni, call center nk
Anza na posta yenyewe!Yes mtihani, Nipe direction.
kwanini jamani😁😁Kila la kheri kwako, sie wengine kabla ya kupokea bahasha zenye CV zetu watatufukuza km mbwa koko.
Tunasubiri kufa ki ubishi ubishii.
Pamoja kamanda..just try them..u never know. By the way it does not cost u anything to trySawa Boss