Nini utofauti kati ya Landcruiser VX na Landcruiser

2015-toyota-landcruiser-03-630x346.jpg

2017_Toyota_Land_Cruiser_(VDJ200R)_GX_wagon_(2018-10-01)_01.jpg

2016-2018_Toyota_Land_Cruiser_(VDJ200R)_VX_wagon_(2018-09-03)_01.jpg

ToyoLand1ffe2_f.jpg
 
Land cruiser gari zao zinaenda Kwa series, hapo kuna series 70,80,100, 200.

Hii series 200 ndio tumezoea kuita Shangingi/Kilimo Kwanza/ V8. Ndani ya Series 200 kunakuwa na matoleo mbalimbali kutokana na vitu ambavyo gari itakuja nayo.
Hapo kuna Lx,Vx,Gx,Gxl,Zx.
Lx(Luxury)- Hapa gari itakuja na accessories ndani za luxury kama leather seat na mifumo ya burudani.

Vx(Very Luxury)- Hii ina vitu zaidi vya luxury.

Zx- Hii ni zaidi ya luxury kwenye vitu vyake.

Gx(Grand Luxury) Hii ni sport na Kwa ajili ya kazi nzito.

Hayo ni baadhi wadau watakuongezea zaidi ila gari aina moja linaweza likawa na features na accessories tofauti na kufanya yawekwe kwenye grade hizo.
GX sio Luxury mzee bali ni Limited edition ya Landcruiser! Haina Cosmetics zozote zaidi ya basic feautres tu na inakuwa equipped na rugged suspensions, body on frame form factor. GX ni kwa ajili ya kazi sio kuuzia sura
 
GX sio Luxury mzee bali ni Limited edition ya Landcruiser! Haina Cosmetics zozote zaidi ya basic feautres tu na inakuwa equipped na rugged suspensions, body on frame form factor. GX ni kwa ajili ya kazi sio kuuzia sura
Mkuu katika hizo picha unaweza niambia ipi gx na ipi vx
 
GX sio Luxury mzee bali ni Limited edition ya Landcruiser! Haina Cosmetics zozote zaidi ya basic feautres tu na inakuwa equipped na rugged suspensions, body on frame form factor. GX ni kwa ajili ya kazi sio kuuzia sura
+1
Gx inakuwa ni very standard option with very limited features na Mara nyingi zinakuwa painted white
Na ndio land cruiser yenye Bei nafuu kwenye class yake , Vx pia zimegawanyika Kuna Vx na Vx-R hii ndio nighali zaidi kutoka Toyota , lakini pia Kuna lexus hii ni luxury segment ya toyota singapore , Hawa huwa wanachukua basic body za toyota na kuzi modify kuwa luxury zaidi
 
Hivi hii mikonga ni ya kazi gani mbona magari mengine hayana
Ile mikonga ni extension ya air cleaner , kwa gari za kawaida huwa inakuwa integrated kwenye body ,
Ukiangalia ule mkonga una matundu pale juu ndipo hasa engine inachukua hewa , kwa maana rahisi kabisa gari yenye mkonga unaweza ikavuka Maji hata yakifika usawa wa kioo bila engine kunywa maji,kiufupi ni gari heavy duty
 
Land cruiser gari zao zinaenda Kwa series, hapo kuna series 70,80,100, 200.

Hii series 200 ndio tumezoea kuita Shangingi/Kilimo Kwanza/ V8. Ndani ya Series 200 kunakuwa na matoleo mbalimbali kutokana na vitu ambavyo gari itakuja nayo.
Hapo kuna Lx,Vx,Gx,Gxl,Zx.
Lx(Luxury)- Hapa gari itakuja na accessories ndani za luxury kama leather seat na mifumo ya burudani.

Vx(Very Luxury)- Hii ina vitu zaidi vya luxury.

Zx- Hii ni zaidi ya luxury kwenye vitu vyake.

Gx(Grand Luxury) Hii ni sport na Kwa ajili ya kazi nzito.

Hayo ni baadhi wadau watakuongezea zaidi ila gari aina moja linaweza likawa na features na accessories tofauti na kufanya yawekwe kwenye grade hizo.
Kwenye hizo version kuna moja inaitwa SAHARA model ndio top ya zote in terms of features and price
 
Back
Top Bottom