EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 8,558
- 12,684
- Thread starter
- #21
GX sio Luxury mzee bali ni Limited edition ya Landcruiser! Haina Cosmetics zozote zaidi ya basic feautres tu na inakuwa equipped na rugged suspensions, body on frame form factor. GX ni kwa ajili ya kazi sio kuuzia suraLand cruiser gari zao zinaenda Kwa series, hapo kuna series 70,80,100, 200.
Hii series 200 ndio tumezoea kuita Shangingi/Kilimo Kwanza/ V8. Ndani ya Series 200 kunakuwa na matoleo mbalimbali kutokana na vitu ambavyo gari itakuja nayo.
Hapo kuna Lx,Vx,Gx,Gxl,Zx.
Lx(Luxury)- Hapa gari itakuja na accessories ndani za luxury kama leather seat na mifumo ya burudani.
Vx(Very Luxury)- Hii ina vitu zaidi vya luxury.
Zx- Hii ni zaidi ya luxury kwenye vitu vyake.
Gx(Grand Luxury) Hii ni sport na Kwa ajili ya kazi nzito.
Hayo ni baadhi wadau watakuongezea zaidi ila gari aina moja linaweza likawa na features na accessories tofauti na kufanya yawekwe kwenye grade hizo.
Mkuu katika hizo picha unaweza niambia ipi gx na ipi vxGX sio Luxury mzee bali ni Limited edition ya Landcruiser! Haina Cosmetics zozote zaidi ya basic feautres tu na inakuwa equipped na rugged suspensions, body on frame form factor. GX ni kwa ajili ya kazi sio kuuzia sura
Hiyo yenye mkonge ndio GXMkuu katika hizo picha unaweza niambia ipi gx na ipi vx
Kwa sababu ina mkonga na assume itakuwa ni Gx , Vx inakuwa ni luxury segment huwa hawaweki mkongaHii ni vx au gx au ni ipi?
View attachment 1628457
+1GX sio Luxury mzee bali ni Limited edition ya Landcruiser! Haina Cosmetics zozote zaidi ya basic feautres tu na inakuwa equipped na rugged suspensions, body on frame form factor. GX ni kwa ajili ya kazi sio kuuzia sura
Hivi hii mikonga ni ya kazi gani mbona magari mengine hayanaKwa sababu ina mkonga na assume itakuwa ni Gx , Vx inakuwa ni luxury segment huwa hawaweki mkonga
Mkuu hapo taratibu naanza kupata majibu ya swali langu.Ila hiyo yenye mkonga naionaona kama jiwe zaidiHiyo yenye mkonge ndio GX
Ile mikonga ni extension ya air cleaner , kwa gari za kawaida huwa inakuwa integrated kwenye body ,Hivi hii mikonga ni ya kazi gani mbona magari mengine hayana
Land Cruiser series 60Ila Jamaa wametoka mbali sana miaka ya 90 ukiwa na gari kama hii ulikuwa unaonekana mtu
View attachment 1628505
GX hio.Mnakera sana hamjui tu
Nyuzi kama hii inakosaje picha wekeni picha tune utofauti
Bei ya hii gari sasa hivi haikamatiki kabisaa.Ila Jamaa wametoka mbali sana miaka ya 90 ukiwa na gari kama hii ulikuwa unaonekana mtu
View attachment 1628505
Ni vintage hiyo gari kwa sasaBei ya hii gari sasa hivi haikamatiki kabisaa.
Kwenye hizo version kuna moja inaitwa SAHARA model ndio top ya zote in terms of features and priceLand cruiser gari zao zinaenda Kwa series, hapo kuna series 70,80,100, 200.
Hii series 200 ndio tumezoea kuita Shangingi/Kilimo Kwanza/ V8. Ndani ya Series 200 kunakuwa na matoleo mbalimbali kutokana na vitu ambavyo gari itakuja nayo.
Hapo kuna Lx,Vx,Gx,Gxl,Zx.
Lx(Luxury)- Hapa gari itakuja na accessories ndani za luxury kama leather seat na mifumo ya burudani.
Vx(Very Luxury)- Hii ina vitu zaidi vya luxury.
Zx- Hii ni zaidi ya luxury kwenye vitu vyake.
Gx(Grand Luxury) Hii ni sport na Kwa ajili ya kazi nzito.
Hayo ni baadhi wadau watakuongezea zaidi ila gari aina moja linaweza likawa na features na accessories tofauti na kufanya yawekwe kwenye grade hizo.
GX zina snorkel (Mkonga)Hii ni vx au gx au ni ipi?
View attachment 1628457
Hiyo bado ni headache Mkuu , mashine ni hiiNingekuwa na hela gari ya kununua ingekuwa hii hamna sijui cha benz wala rolls Royce wala BMW