Kiukweli ni bora hata mtu ufulie ila uwe mzimaUgonjwa haswa usiotibika au wenye kuleta ulemavu wa maisha..
Duu!! Basi bora kutokua chakula..Kuwa chakula nayo inatisha, watu woote wanakula afu mdomoni giza, unatafunwa, kupita kooni la lile giza jamani.
Hapana kabisa.
Kuwa chakula nayo inatisha, watu woote wanakula afu mdomoni giza, unatafunwa, kupita kooni la lile giza jamani.
Hapana kabisa.
Chagua nyingine
Duu!! Basi bora kutokua chakula..
1-Jela
2-Kufa
3-Kubakwa
4-Talaka
5-Ugonjwa
6-Shetani
7-............
Mimi naogopa sana Jela na Shetani, Je ww unaogopa nini? Ukitaja na sababu itakuwa vizuri....
...naogopa vitu ambavyo hauwezi kurestore....kifo...kupoteza bikra...