Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 692
- 1,570
Nini kinasababisha wanawake wengi wa Hii generation kuzaa kabla ya ndoa? Je ni,
1. Bahati mbaya
2. Kuona umri unaenda na hakuna muoaji
3. Kuona mwanume Ana potential so nizae ili mtoto aishi maisha mazuri
4. Kuona ni fashion na mimi nionekane nina mtoto
5. Kubakwa
6. Au kuwa na health conditions zinazokubidi uwahi tu kuzaa
1. Bahati mbaya
2. Kuona umri unaenda na hakuna muoaji
3. Kuona mwanume Ana potential so nizae ili mtoto aishi maisha mazuri
4. Kuona ni fashion na mimi nionekane nina mtoto
5. Kubakwa
6. Au kuwa na health conditions zinazokubidi uwahi tu kuzaa