WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
unaweza ukajiona uko JF, kumbe uko facebook bana. haya ni madhara ya kwanza, wengine wataendeleza
unaweza kujikuta unameza dawa zote famasi,,,,,,,,
unaweza ukajiona uko JF, kumbe uko facebook bana. haya ni madhara ya kwanza, wengine wataendeleza
duuuh,aiseee kama mambo yenyewe ndo haya ngoja nipulize mara ya mwisho,yan mwaka huu ndo mwisho!unaweza ukajiona uko JF, kumbe uko facebook bana. haya ni madhara ya kwanza, wengine wataendeleza
hehehe ukifikia stage hii nazani unatakiwa kulipoti milembe, hii si bange ni uchizi.unaweza kujikuta unameza dawa zote famasi,,,,,,,,
mkuu hii ndubwana ukiipiga kabla breakfast mama yako unaweza ukamuita wife. sitanii kabisa yaani.
hehehe ukifikia stage hii nazani unatakiwa kulipoti milembe, hii si bange ni uchizi.
mia. mia.sasa wewe mutu ya famasi unashauri itumike kwa kiasi siyo ili isifikie hiyo stage?
mia. mia.
pia inasemekana inapunguza maumivu ya wajawazito wakati wa kujifungua lakini iz not recommended kwavile asari zake ni nyingi kuliko faida, miongoni mwa athari hizo ni :- moshi unaweza ukamfikia mtoto tumboni halaf mtoto akazaliwa huku anacheza kiduku na kucheka bila sabab za msingi. kuna suala la nyongeza?
mia. mia.
pia inasemekana inapunguza maumivu ya wajawazito wakati wa kujifungua lakini iz not recommended kwavile asari zake ni nyingi kuliko faida, miongoni mwa athari hizo ni :- moshi unaweza ukamfikia mtoto tumboni halaf mtoto akazaliwa huku anacheza kiduku na kucheka bila sabab za msingi. kuna suala la nyongeza?
wazo lako ni zuri kabisa mheshimiwa mbunge wa viti maalum. acha tuwasiliane na wizara husika. miahahaha! nilikumiss nikamiss kucheka dah! sikuwahi kufikiri kuwa inaweza kuwa na positive zake!kama inapunguza maumivu haiwezi kutumika kutengeneza over the counter drugs ikiwa itapunguzwa hizo makitu zenye hatarrrrrri? mia
Mambo vp wadau napenda kuuliza eti uvutaji wa sigara na bangi kupita kiasi unapunguza nguvu za kiume?
Ndiyo mkuu, hivyo ni vyanzo vikuu vya upungufu wa nguvu za kiume na hata ungetumia dawa gani kama unavuta sigara au bangi kamwe hutapona nguvu za kiume.