Dr. Mmbaga
Member
- May 7, 2010
- 7
- 0
Awe smart kwa kila kitu kichwani,kuvaa kama anvyoonekana mtoto wa Nyani Ngabu,awe wise enough na mwenye kujua anasema nini na wakati gani,that is for the first sight i can give him credit regardless of the colour and height,mengine yatajitokeza baadae kama anajua kupenda,kujali,n.k