Mpogoro
JF-Expert Member
- Dec 7, 2008
- 386
- 58
Dah!Huyu Kibonde naona sasa ndo anaelekea kwenye downfall maana kila kukicha watu wanamlalamikia yeye...sijui ana tatizo gani.Inaonekana hata watu wanaposema labda yeye hapati taarifa au anaona watu mbalimbali wanavyomkosoa haina maana.Nafikiri Clouds wamefika sehemu wamejisahau kabisa na hivyo wanafanya mambo bila kujali kama wanaweza kuchukuliwa hatua za kisheria kutokana na namna wanavyofanya shughuli zao bila kufuata maadili ya uendeshaji wa vyombo vya habari!Ila hata hivyo hayo mambo yanawezekana Africa tu...ha ha ha....