Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,686
- 106,811
Kipindi bifu limeiva Oten alimuimba Sele
Kwenye wembo wa Mimi, Oten anaimba kwamba!
Nilizaliwa Morogoro, hata siku nikifa maiti yangu iende Mor.
Naweka wazi adui yangu asinizike, hata muhuni yoyote asiyenipenda asisogee.
Kama vipi itupeni maiti yangu porini wale tai, muone mimi sifai.
Kama hujui naitwa Filipo nyandindi, na adui yangu mkubwa ni Selemani Msindi(Afande Sele)
Lakini baadae Sele na Oten walitoa ngoma pamoja inatwa Tusahau.
Oten anaimba kiitikio...
"Mimi na wewe kumbuka ni kitu kimoja, tena tumetoka moro mkoa mmoja.
Tusahau yote yaliyopita, na tugange mapya yanayokuja"
Verse 1: Oten anaimba kwamba..
Naepusha mbawa zangu kwa kuonekana mjinga, naamini mti mwema ndio unaopigwa mawe.
Kila kukicha nyandindi ndio naonelewa, nakabidhi roho yangu kwa baba aliye Mbinguni. Rafiki yako mkubwa anaweza kua adui, ila adui yako mkubwa hawezi kua rafiki ila Oten nimesamehe, ninapotoka napajua, ninapoenda sipajui, ndio maana kila siku napunguza maadui,
Verse 2: Afande akaimba..
....Na nywele ni kama akili, yule ana nywele ndefu na yule kipilipili,
Au mwingine nyekundu, na mwengine nyeusi tii
Ilimradi kuna toafauti, kati yetu ndani ya jamii
Hivi nani angetambua, kwmaba kuna kipindi mwezi unapatwa na jua
Ndio mambo yalivyo duniani, vitu kama sunami sio vigeni
Zinagongana meli, magari na ndege juu angani
Hata vidole vyetu mkononi havifanani
Hujawahi ona mama na mwana mda fulani hawaelewani, Sembuse mimi na Oten, Amkeni.
Acheni bifu za kiuni, kama kuanzisha bifu tuanzishe bifu na ukimwi
Yaliyopita sinndwele, sasa tugange ya mbele
Watu hatuna makucha vipi tunaomba Upele, hatueleweki zipi ni pumba zipi ni mchele
Wote ni walewale, kutwa kunyosheana vidole.
...Hilo halipo na kama halipo, basi nakula kiapo
Mnionapo na filipo, popote amani iwepo
Japo shetani hapendi, ila wote tuamini kwa Mungu ni zaidi ya ushindi!
Leo filipo nyandindi, yuko pamoja na mtu pori baba abdul na selemani msindi
Wajuzi naombeni mnijuze nini kilikua chanzo kati ya Mfalme wa vina Afande na Oten wa East Cost! Je nini kiliwapatanisha..?
Enzi wanatamba hawa watu magari ya kubeba mkaa yalikua hayajaanza kufika kijijini kwetu, stori zao hatukua tunazipata!
Kwenye wembo wa Mimi, Oten anaimba kwamba!
Nilizaliwa Morogoro, hata siku nikifa maiti yangu iende Mor.
Naweka wazi adui yangu asinizike, hata muhuni yoyote asiyenipenda asisogee.
Kama vipi itupeni maiti yangu porini wale tai, muone mimi sifai.
Kama hujui naitwa Filipo nyandindi, na adui yangu mkubwa ni Selemani Msindi(Afande Sele)
Lakini baadae Sele na Oten walitoa ngoma pamoja inatwa Tusahau.
Oten anaimba kiitikio...
"Mimi na wewe kumbuka ni kitu kimoja, tena tumetoka moro mkoa mmoja.
Tusahau yote yaliyopita, na tugange mapya yanayokuja"
Verse 1: Oten anaimba kwamba..
Naepusha mbawa zangu kwa kuonekana mjinga, naamini mti mwema ndio unaopigwa mawe.
Kila kukicha nyandindi ndio naonelewa, nakabidhi roho yangu kwa baba aliye Mbinguni. Rafiki yako mkubwa anaweza kua adui, ila adui yako mkubwa hawezi kua rafiki ila Oten nimesamehe, ninapotoka napajua, ninapoenda sipajui, ndio maana kila siku napunguza maadui,
Verse 2: Afande akaimba..
....Na nywele ni kama akili, yule ana nywele ndefu na yule kipilipili,
Au mwingine nyekundu, na mwengine nyeusi tii
Ilimradi kuna toafauti, kati yetu ndani ya jamii
Hivi nani angetambua, kwmaba kuna kipindi mwezi unapatwa na jua
Ndio mambo yalivyo duniani, vitu kama sunami sio vigeni
Zinagongana meli, magari na ndege juu angani
Hata vidole vyetu mkononi havifanani
Hujawahi ona mama na mwana mda fulani hawaelewani, Sembuse mimi na Oten, Amkeni.
Acheni bifu za kiuni, kama kuanzisha bifu tuanzishe bifu na ukimwi
Yaliyopita sinndwele, sasa tugange ya mbele
Watu hatuna makucha vipi tunaomba Upele, hatueleweki zipi ni pumba zipi ni mchele
Wote ni walewale, kutwa kunyosheana vidole.
...Hilo halipo na kama halipo, basi nakula kiapo
Mnionapo na filipo, popote amani iwepo
Japo shetani hapendi, ila wote tuamini kwa Mungu ni zaidi ya ushindi!
Leo filipo nyandindi, yuko pamoja na mtu pori baba abdul na selemani msindi
Wajuzi naombeni mnijuze nini kilikua chanzo kati ya Mfalme wa vina Afande na Oten wa East Cost! Je nini kiliwapatanisha..?
Enzi wanatamba hawa watu magari ya kubeba mkaa yalikua hayajaanza kufika kijijini kwetu, stori zao hatukua tunazipata!