sajosojo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2010
- 1,017
- 619
Katika maswali ninayojiuliza sana ni kuhusu hatma ya Zanzibar hapo 2015 endapo CHADEMA waingia madarakani, maana CHADEMA haina sapoti ya kutosha ZANZIBAR.
Na kulingana na hizi vurugu za wazanzibar kutaka kujiondoa katika muungano, je watawaacha waende?
Na kulingana na hizi vurugu za wazanzibar kutaka kujiondoa katika muungano, je watawaacha waende?