Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,028
- 144,382
Baada ya kusikiliza clip ya Dr. Slaa inayotajwa kuwa ndio ushahidi wa Dr. Slaa kuongea kusudio la kupindua serikali, binafsi naamini huko mahakamani definition ya uhaini kwa maana ya kupindua serikali ni lazima vitatumika katika kutoa hukumu.
Hivyo, ningependa kujua uhaini ni kitu gani hasa kwa mujibu wa sheria husika? na zaidi maneno "kupindua serikali" yanatasiriwa vipi katika sheria za nchi hii.
Kwa kuanza, tunaomba anaeweza kututuwekea sheria nzima ya uhaini afanye hivyo ili tupate walau mwanga uhaini ni kitu gani na zaid ili uhaini utimie au uhesabike ni uhaini , vitendo au matamshi gani na katika mazingira gani yanawzeza ku-fit definition ya uhaini na kumtia mtu hatiani/matatani.
Naamini kupitia kesi hii, tutajifunza mengi kama kwenye ile kesi ya ugaidi aliyopewa Freeman Mbowe.
Hivyo, ningependa kujua uhaini ni kitu gani hasa kwa mujibu wa sheria husika? na zaidi maneno "kupindua serikali" yanatasiriwa vipi katika sheria za nchi hii.
Kwa kuanza, tunaomba anaeweza kututuwekea sheria nzima ya uhaini afanye hivyo ili tupate walau mwanga uhaini ni kitu gani na zaid ili uhaini utimie au uhesabike ni uhaini , vitendo au matamshi gani na katika mazingira gani yanawzeza ku-fit definition ya uhaini na kumtia mtu hatiani/matatani.
Naamini kupitia kesi hii, tutajifunza mengi kama kwenye ile kesi ya ugaidi aliyopewa Freeman Mbowe.