Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Refer to the heading.
Binafsi nikimfunania wife wangu redhanded kwa kuwa nampenda sana, sitomuua nitamtaliki bila kutoa uahai wake.
Kumwachia uhai wake ndiyo feva ambayo nitampa kwakuwa nampenda sana.
Mimi kwakuwa nampenda sana sitataka kujiongezea jeraha lingine la kumuacha, nitakachokifanya ni kumgombeza kwamba alichokifanya ni kitu kibaya sana asirudie tena maana sipendi hiyo tabia na nitaendelea kuishi naye.