Michael Mwakyusa
JF-Expert Member
- Mar 18, 2012
- 306
- 55
wazanzibar wana maadili ya kidini,huku bara hakuna maadili
Kweli wewe ni bongolala,kama unaamini hivyo!!!.
wazanzibar wana maadili ya kidini,huku bara hakuna maadili
kama jinsi ambavyo hawawezi kula rushwa ndivyo hivyo hivyo hawawezi kufanya kazi. Ni wazanzibari wachache wamekuwa viongozi wazuri bara, wengi hamna kitu.
We sio mzima kimawazo kabisa. Yaani uwalete wazenji huku kwetu wafanye nini? Hao jamaa wote uliowataja nafasi zao hazina chance za kupiga mafungu ya maana lakini ndani ya uongozi wa CCM hakuna ambaye siyo mwizi inabidi utambue hilo. Mbona katika uliowataja hujamuweka Mwinyi au yeye ni kutoka Bongo? najua umem-skip kwasababu ukimuweka tu ktk hiyo list maovu yake yanawafunika woooote hata kama wangekuwa wasafi.
Hao unaotaka kuwaleta huku wachukue wapeleke kwa Boko-haramu au Al-shabaab huko usituletee balaa lako hapa wadini nyie.
Kwa miaka mingi, wateule wa rais wa Muungano wakitokea Zanzibar basi kuhusu rushwa rais huwa hapati tabu.
Sijabahatika kusikia Mzanzibar ndani ya Muungano akiwa mlarushwa kama wanavyokuwa watz bara wanapoteuliwa.
Nngalikuwa Jk.ningaliangalia jambo hili kwa ukaribu zaid
1)Dk Omar Ali Juma
2)Dk Mohd Shein
3)Dk Gharib Bilali
4)Shamsi Nahodha - Mambo ya Ndani
5)Ali Ameir Mohd - Mambo ya ndani iliopita
6)Samiha Suluhu
7)Mahadhi Juma Maalim
8)Ali Seif Khatib
...
....
...
......
......
........na wengine wengi
HAPA NAAMANISHA WANAPOKUWA TANZANIA BARA. NAJUA WANAPOKUWA ZANZIBAR HUWA HAWANA HAYA WALA HAWAONI VIBYA KULA RUSHWA