Ningalikuwa Kikwete, ningaliwateua mawaziri wengi kutoka Zanzibar

Kwa miaka mingi, wateule wa rais wa Muungano wakitokea Zanzibar basi kuhusu rushwa rais huwa hapati tabu.
Sijabahatika kusikia Mzanzibar ndani ya Muungano akiwa mla rushwa kama wanavyokuwa watz bara wanapoteuliwa.
Nngalikuwa Jk.ningaliangalia jambo hili kwa ukaribu zaid

1)Dk Omar Ali Juma

2)Dk Mohd Shein
3)Dk Gharib Bilali
4)Shamsi Nahodha - Mambo ya Ndani
5)Ali Ameir Mohd - Mambo ya ndani iliopita
6)Samiha Suluhu
7)Mahadhi Juma Maalim
8)Ali Seif Khatib
...
....
...
......
......
........na wengine wengi
Unajua sababu ya mauti kumkuta huyo mheshimiwa mwenye RED?

Hivi unajua Ali Hassan Mwinyi alikamatwa hapo DIA akitoroka baada ya kutaka kuiuza nchi?

Hivi nani aliyewauzia wamanga portion ya mbuga kule Loliondo kama sio Ali Hassan Mwinyi.

Je, unamkumbuka mtu anaitwa Salmin Amour 'Komando", uozo wa kifisadi aliokuwa akifanya?

(kama ni mtoto wa kizazi cha dotcom huwezi yajua haya)
 
Awali ya yote,ningeshukuru sana kama ungekuja na takwimu zinazoonyesha idadi ya wananchi wa Zanzibar?
Nafasi wanazoshikilia sasa katika serikali ya Muungano haziwatoshi?
 
ndio maana hawatakiwi wabara wasione uchafu, mpaka kwenye jeshi la polisi wanakaa kikanda, wa paje wabaki paje, wamakunduchi wanaotawala jeshi la polisi znz ndio wenye vyeo, hapo paje mwizi wala jambazi wanaoingiaga kwenye mahoteli ya kitalii hawakamatwi kwani ni mpango wa polisi na wadogo zao, silaha za kutumika zatoka hapohapo kituoni nendeni utalii tu mjionee wakuu
umesahau kuwa police wa paje wanalala usiku na mlango wanafunga..nenda mwanakwerekwe police hivyo hivyo.kutafuna mali ya umma zanzibar kwa kiongozi si kosa,kosa ukimyima kiongozi mwenzio ndiyo hapo utajua walio mafisadi.
Zanzibar viongozi wajisafishe sana mioyoni mwao na si nje nje kunakoonekana kusafi.
trafic light walipewa bure za malindi na mkunazini na zimekufa serikali haina bajeti kuzirepea. kutoka uwanja wa ndege kuja magomeni walidhaminiwa taa za barabarani kutokana na kudai cha juu chuma za zilipoishia zilibaki pale pale na sasa ukija hii imelala mbele na hii imelala nyuma na hazikuwaka mpaka sasa.
Barabara zinarepewa gwa gharama kubwa na baada ya mwaka zinakufa. kituo cha daladala darajani mashimo makubwa wakati lami haina hata miaka5.na kuyafukia sijui mpaka aje mfadhili. sikie gharama yake siku ikifika.
barabara hazina viwango kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...bora barabara ya bububu iliyojengwa miaka hiyo na bado inadunda...acheni kuongelea zanzibar
 
Ni hatari sana kwa mtu mzima kuwa na mawazo yanayoishia pale kivuli chake kiishiapo.
 
Sidhani kuna mahali ambapo rushwa ni kubwa ulimwenguni kama Zanzibar

Ni kweli mkuu. Rafiki yangu wa karibu (mfanyakazi wa serikali kuu) alipata shida sana alipokwenda Zanzibar kikazi. Kila mahali (serikalini) alipotaka msaada walitaka awape pesa kwanza.
 
World Bank donated milions of Dollars for the construction of Zanzibar Airport, mara zote tenda Karume alizichukua na kuwapa wakwe zake, matokea miradi inafeli na WB kuzuia kiwango kilichobaki.
Sasa wanajenga wachina kwa msaada ya serikali ya China (bila shaka kuna kitu watakitaka hapo na huenda ni uvuvi katika maeneo ya ndani ya zanzibar)
 
There used to be a major Spanish Company which had Luxury hotels and own direct Charter Jets from Madrid to the Island direct.
With all disturbances, corruption in big and village level, and all other uncivilised matters happened to them in the Island.
The wrote at front covers of their major daily newspaper wrote (ZANZIBAR IS AN ISLAND OF THIEVES, ALL ARE THIEVES)
then they closed all their business with Zanzibar.
 
Katika orodha ya wanaotakiwa kujiuzulu, Hakuna Mzenji.
watakuwepoje kwenye list wakati si viongozi wa hizo wizara?hata hili linakushinda kufikiri..
Then hao walio na vyeo sehem nyingine wanashindwa kuiba maana wamekaribishwa tu huku-si kwao,kwa kulifaham hilo naona ndo linalowafanya wanafwata sheria za kazi yao
 
Kwa miaka mingi, wateule wa rais wa Muungano wakitokea Zanzibar basi kuhusu rushwa rais huwa hapati tabu.
Sijabahatika kusikia Mzanzibar ndani ya Muungano akiwa mlarushwa kama wanavyokuwa watz bara wanapoteuliwa.
Nngalikuwa Jk.ningaliangalia jambo hili kwa ukaribu zaid

1)Dk Omar Ali Juma
2)Dk Mohd Shein
3)Dk Gharib Bilali
4)Shamsi Nahodha - Mambo ya Ndani
5)Ali Ameir Mohd - Mambo ya ndani iliopita
6)Samiha Suluhu
7)Mahadhi Juma Maalim
8)Ali Seif Khatib
...
....
...
......
......
........na wengine wengi

HAPA NAAMANISHA WANAPOKUWA TANZANIA BARA. NAJUA WANAPOKUWA ZANZIBAR HUWA HAWANA HAYA WALA HAWAONI VIBYA KULA RUSHWA

kama jinsi ambavyo hawawezi kula rushwa ndivyo hivyo hivyo hawawezi kufanya kazi. Ni wazanzibari wachache wamekuwa viongozi wazuri bara, wengi hamna kitu.
 
Wazanzibari bara hawapo kikazi bali kuenjoy tu, angalia wanavyotumaliza kwa mabomu na risasi na hao mawaziri hawajiuzulu
 
Kwa miaka mingi, wateule wa rais wa Muungano wakitokea Zanzibar basi kuhusu rushwa rais huwa hapati tabu.
Sijabahatika kusikia Mzanzibar ndani ya Muungano akiwa mlarushwa kama wanavyokuwa watz bara wanapoteuliwa.
Nngalikuwa Jk.ningaliangalia jambo hili kwa ukaribu zaid

1)Dk Omar Ali Juma
2)Dk Mohd Shein
3)Dk Gharib Bilali
4)Shamsi Nahodha - Mambo ya Ndani
5)Ali Ameir Mohd - Mambo ya ndani iliopita
6)Samiha Suluhu
7)Mahadhi Juma Maalim
8)Ali Seif Khatib
...
....
...
......
......
........na wengine wengi

HAPA NAAMANISHA WANAPOKUWA TANZANIA BARA. NAJUA WANAPOKUWA ZANZIBAR HUWA HAWANA HAYA WALA HAWAONI VIBYA KULA RUSHWA
Nakubaliana na wewe kkabisa ila kiukweli hili linatokana na wengi makuzi yao ni ya kidini mno so wanakuwa descnt.....ila jambo moja kubwa jamaa ni nalenale mnooo (wako sloo mnoo) cheki kama docta shein,nnahodha,marehemu dr omar juma.....ni watu ambao HAWaWEZI KUFOKA AISEE
Wanaweza kuwa sio wala rushwa ila wanaweza kuacha mambo yajiendee yenyewe,,,,
 
We sio mzima kimawazo kabisa. Yaani uwalete wazenji huku kwetu wafanye nini? Hao jamaa wote uliowataja nafasi zao hazina chance za kupiga mafungu ya maana lakini ndani ya uongozi wa CCM hakuna ambaye siyo mwizi inabidi utambue hilo. Mbona katika uliowataja hujamuweka Mwinyi au yeye ni kutoka Bongo? najua umem-skip kwasababu ukimuweka tu ktk hiyo list maovu yake yanawafunika woooote hata kama wangekuwa wasafi.
Hao unaotaka kuwaleta huku wachukue wapeleke kwa Boko-haramu au Al-shabaab huko usituletee balaa lako hapa wadini nyie.
 
rushwa ya zanzibar ni mbaya kupita maelezo aise.........paone vilevile padogo kuna mambo makubwa hata bara haitii mguu
 
Back
Top Bottom