Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Wana JF
Leo nzima nimekuwa na simanzi baada ya kupoteza biashara kisa nimechelewa appointment na wadau wangu .Nilikuwa na wafanya biashara walio kuja hapa nchini kuhusiana na mambo ya kilimo .Mkutano watu ulitakiwa kuanza saa 2 asubuhi .Mimi nimeondoka kwangu saa kumi na mbili na robo asubuhi .Kufika njia Panda ya Segerea kwenda mjini nikakuta foleni iliyo dumu kwa masaa mengi sana .Kuuliza naambiwa Kikwete was expected to land by BA toka UK .
Hakika tumeachiwa saa mbili tangia kumi na mbili na nusu .Watu wengi wamelalama mno.Kwenye foleni kulikuwa na wagonjwa , mahabuhusu nk .Wote hao walikaa kimya na kubanana kisa JK na msafara wake .I am now contempleting on what steps should I take .Kitendo hiki ni kibaya mno na kinazuia ufanisi na kupunguza kasi ya maendeleo .I lost much enough today na naombeni seriously ushauri wa kisheria nikafungue kesi kuomba mahakamba kuzuia kusimamishwa kwa magari wakati JK akiwa angani .He could also drive with us kwenye foleni .
Hawezi kuwa na nguvu kuliko sisi walipa kodi .JK na CCM namjua leo maisha mangapi ya watanzania yamepotea au nyie mnawatafuta madaktari na Chadema pekee na haya ya kufia kwenye foleni na kuchangia hasara katika maisha yetu hamuyaoni ?
Leo nzima nimekuwa na simanzi baada ya kupoteza biashara kisa nimechelewa appointment na wadau wangu .Nilikuwa na wafanya biashara walio kuja hapa nchini kuhusiana na mambo ya kilimo .Mkutano watu ulitakiwa kuanza saa 2 asubuhi .Mimi nimeondoka kwangu saa kumi na mbili na robo asubuhi .Kufika njia Panda ya Segerea kwenda mjini nikakuta foleni iliyo dumu kwa masaa mengi sana .Kuuliza naambiwa Kikwete was expected to land by BA toka UK .
Hakika tumeachiwa saa mbili tangia kumi na mbili na nusu .Watu wengi wamelalama mno.Kwenye foleni kulikuwa na wagonjwa , mahabuhusu nk .Wote hao walikaa kimya na kubanana kisa JK na msafara wake .I am now contempleting on what steps should I take .Kitendo hiki ni kibaya mno na kinazuia ufanisi na kupunguza kasi ya maendeleo .I lost much enough today na naombeni seriously ushauri wa kisheria nikafungue kesi kuomba mahakamba kuzuia kusimamishwa kwa magari wakati JK akiwa angani .He could also drive with us kwenye foleni .
Hawezi kuwa na nguvu kuliko sisi walipa kodi .JK na CCM namjua leo maisha mangapi ya watanzania yamepotea au nyie mnawatafuta madaktari na Chadema pekee na haya ya kufia kwenye foleni na kuchangia hasara katika maisha yetu hamuyaoni ?