Ni dalili tosha hizo ulizozieleza.Aliekwambia nanyetuka nani😝
We phalla juzi si ulitupopoa mawe?🤣🤣
Muongo wewe😂Yaan usiishie kuogopa tu,kimbia cute
Usinitukanie mdogo mkuu😆Punguza nyeto binti yangu
Wanawake hatunyetukagi😜Punguza nyeto binti yangu
Wote hatujamboNdio Mama Pretty, Pretty hajambo na Baba yake wote wazima?, umekutana na binadamu Mimi 'anonymous' fundi wa kutundika daruga na kuzitikisa kamba ngumu
Nimeshatuma maombiTwende tukamuombe elon musk ufadhili akatuache kwenye sayari ya pluto anavyoenda mwezini mwaka ujao maana mwenyewe binadamu washanikata mudi aisee
Una uwezo wa kuishi na kila binadamu, ila uwe makini na yule unayemsogeza kwenye maisha yako.Nimejikuta ninawaogopa sana binadamu kutokana na visa mbalimbali nilivyowahi kupitia kwenye maisha yangu.
Asili yangu ni ukimya na utaratibu lakini kuna wakati maisha yanahitaji ujichanganye na watu mbalimbali kutokana na mifumo yetu.
Na ndicho kipindi nilichojifunza kuwa binadamu ni kiumbe hatari mno.
Ninaogopa watu, ninaogopa miunganisho mipya, hata katika mahusiano ya kimapenzi inachukua muda mno kujiunganisha na mtu kihisia.
Sina imani na kiumbe binadamu kwenye nyanja zote za kimaisha! Japokuwa haiwezekani, lakini ninatamani niishi mahali nisiyoweza kukutana na binadamu.😔😔😔
Abee kaka, you’re so missed!Jamani mdogo wangu
Ni vumbi tu😂😂😂Yaan usiishie kuogopa tu,kimbia cute
Jamani, si uje nyumbani tu? Mbona hatujakufukuzaAbee kaka, you’re so missed!
HUwa mnajifanyaje sasa vile,just mnajisugua sugua tu et?Wanawake hatunyetukagi😜
Sina imani na kiumbe binadamu kwenye nyanja zote za kimaisha! Japokuwa haiwezekani, lakini ninatamani niishi mahali nisiyoweza kukutana na binadamu.😔😔😔
Exactly!!!Are you virgo?
Ni kweli lakini ikifikia hatua ya kuwaogopa watu hadi utamani kuishi kipweke ni hatari kwako.Nimejikuta ninawaogopa sana binadamu kutokana na visa mbalimbali nilivyowahi kupitia kwenye maisha yangu.
Asili yangu ni ukimya na utaratibu lakini kuna wakati maisha yanahitaji ujichanganye na watu mbalimbali kutokana na mifumo yetu.
Na ndicho kipindi nilichojifunza kuwa binadamu ni kiumbe hatari mno.
Ninaogopa watu, ninaogopa miunganisho mipya, hata katika mahusiano ya kimapenzi inachukua muda mno kujiunganisha na mtu kihisia.
Sina imani na kiumbe binadamu kwenye nyanja zote za kimaisha! Japokuwa haiwezekani, lakini ninatamani niishi mahali nisiyoweza kukutana na binadamu.😔😔😔
Asante, post haihusiani na mahusiano ya kimapenzi.Pole sana kwa yaliyokukuta ndiyo changamoto ya mapenzi