Ninawamisi wapwa zangu, niko hoi natibiwa

Uliniuliza hivi
Babu nisamehe nimesoma hadi nukta ya mwisho. Ningejua ningeishia kichwa cha habari tu Babu ili nikupe pole ...... Lakini nilikuwa natafuta Kilichopelekea uumwe!
nami nikakujibu hivi

Niliteleza kwenye ngazi nikafikia kiuno..... Hayo maumivu........Namshukuru physiotherapist wangu!!

Mjukuu ikawaje hata salamu? Loooooooh!:confused2::confused2:

Swali jingine tafadhali?
 
Mkuu pole kwa kuteleza na kuangukia kiuno ila shukuru Mungu kuwa madhara siyo makubwa maana yangekuwa makubwa ingekuwa balaa..... ila nahisi huyo Dr. yupo MOI maana ndio wanoiyo tiba

Kumbe wagonjwa wa Viuno tuko wengi? Hahahahahahaha!:welcome::welcome::welcome:
 
Babu nisamehe nimesoma hadi nukta ya mwisho. Ningejua ningeishia kichwa cha habari tu Babu ili nikupe pole ...... Lakini nilikuwa natafuta Kilichopelekea uumwe!
Hoja hii ina AKILI SANA
ASPIRIN jitokeze utueleze source ya ugonjwa wako wa kiuno.
pia kama unaambukizwa au unaigwa ueleze wazi hapa jukwaani
 
Hommi pole sana bana you will be okay (actually umeshapona)

halafu mambo yetu kama kawaida do ze nidiful...:welcome:
 
Pole sana my dear brother kwa maswahibu yaliyokukuta, ni majaribu tu yataisha.

Mama Matesha if u come across this page naomba ubrowse ukiwa umefunga macho I dont want to loose u my wifi kipenzi.
 
Wapwa zangu na mabinamu,

Juzi kati hapa kaka mkubwa nlipata dhahma lililonilazimu kutokuwa hewani hapa na kuhamishia kambi hospitali. Nipeni pole tafadhali.

Mojawapo ya tiba nilizotakiwa kuzipata katika dhahma hii ni mazoezi ya viungo. Sasa sijui kama ni mpango wa hospitali au mipango ya Mungu kwa mimi kupewa physiotherapist yule anifanyie mazoezi na massage.

Massage anayonifanyia dada huyu, natamani nisipone haraka. Sijui ndio mwendo wenyewe au anafanya makusudi? Manake natakiwa kusaula viwalo vyote, nalazwa kitandani, napakwa mafuta halafu mikono milaini ambayo haijawahi kusonga ugali inakuwa inaniminyaminya maeneo ya kiunoni. Napata maumivu makali lakini nikimwangalia binti huyu huyu, maumivu yanaisha ghafla. Then nageuzwa kulala chali naye anaanza kunikanda upande wa baioloji. Balaa linaanzia hapo sasa kwa sababu samtaimz anapitiliza na kugusa ile sehemu kuu ya mwanaume.

Sasa najiuliza, huyu binti mrembo na mtanashati, kashajionea vya mama matesha kwa kiasi chake........halafu tumeshakuwa marafiki kiasi kwamba tumeshapeana namba za simu incase of emergency..... sistahili nami kumlipizia mama matesha kwa kuviangalia vya huyu binti? Manake nshapona lakini najikuta nadanganya sijapona ili niendelee na matibabu haya.....!!!

Na ikitokea ikawa hivyo. hiyo nayo itakuwa infidelity au sehemu ya tiba?

Ntawamiss sana maswahiba kwa wiki mbili hizi hapo kaunta......niko bize najitibia.

Nawatakieni wikiendi njema, hatutakuwa sote kaunta.....:violin::violin::violin:


Thats serious buddy! Ninaomba umwambukize mchungaji huo ugonjwa ili naye akapate hiyo huduma kwa mtaalamu huyo. Ila nitamwomba na yeye avue nguo zake ili tiba iende vizuri, Imeandikwa dawa ya moto ni moto.

Mchungaji
 
Thats serious buddy! Ninaomba umwambukize mchungaji huo ugonjwa ili naye akapate hiyo huduma kwa mtaalamu huyo. Ila nitamwomba na yeye avue nguo zake ili tiba iende vizuri, Imeandikwa dawa ya moto ni moto.

Mchungaji
See no evil, Hear no evil, Speak no evil

E-mail: masanilo@jamiiforums.com
kwa sana tu shekhe mchungaji
 
"Mtu azinie na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake." Mithali 6:32
 
Pole Asprin, Mungu atakuponya... (Hivi umesema umeshapona eeh?)

Angalia huyo mtibuji asijetonesha kiuno hicho ndugu yangu...
 
heheheheh ....
hivi hamnaga na wa kiume..???
angekuwa physio wa kiume ndio anakupa huduma,bado ungekuwa na mawazo ya infidelity ??:becky:

anyway pole,get well soon:A S 8::A S 8:
 
Pole sana kaka. Natumaini kwa style hiyo uta pretend hujapona hata kama utapona ili uendelee kupata dozi ya binti.
Get well Soon Asprin!
 
Pole sana mkuu, nilikuwa natafakari hio tiba nikacheka nikajiuliza kimoyomoyo vipi kama huyo mtoa tiba ni mchumba au geli frendo wa JF premium member? au Robot mnaweza kula bann wote pamoja na kiuno chako
 
Back
Top Bottom