Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Duh! we sindo juzi ulisema unampenda mkeo na kushauri watu wawapende wake zao leo hii unatoa ushauri huu duh! kwa mume wa mtu!?
Lahaulaa! Mimi najua mpwa anampenda sana mkewe, simshauri usaliti kama unavowaza wewe dia! Alipize machungulizi tu na roho yake itapona!