Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
[h=6]Yaaani umeomba ki date na mwanamke akafika na shosti yake, mkala misosi, mkanywa, ukalipa bili. Baada ya hapo inaingia sms, "ninataka kumkimbia kimeo huyu", mwanamke alikuwa anamtumia shosti wake akajisahau akakutumia wewe.
Ungefanyaje hapo............???
[/h]
Ungefanyaje hapo............???
[/h]