Kindimbajuu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 710
- 243
kwani amekutaja jina??, yeye amesema "kimeo huyu", kwani huyu ndo wewe?????. haya mambo ni ya kawaida, akikolea atabadili jina toka kimeo mpaka asali. koleza minjonjo , ili uwe upandishwe cheo toka kimeo mpaka asali au mpenziYaaani umeomba ki date na mwanamke akafika na shosti yake, mkala misosi, mkanywa, ukalipa bili. Baada ya hapo inaingia sms, "ninataka kumkimbia kimeo huyu", mwanamke alikuwa anamtumia shosti wake akajisahau akakutumia wewe.
Ungefanyaje hapo............???