Tindikali
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 2,014
- 2,664
baada ya unyumba, haki kubwa ya Mwanamme wa Kiafrika ni kupikiwa. Wewe unasema misosi tukapikiwe na mama zetu, we sio jiko... ni lazima ujuwe una interact na watu wa jamii gani.Ahsante. Mimi siyo jiko.