Mdau Makini
Member
- Sep 18, 2012
- 70
- 10
Naomba msaada wenu wa mawazo, nina maumivu ya Shingo kwa muda wa Miaka kumi hivi tokea kisogoni,shingo(misuli) mpaka mgongoni kati kati ya Mabega.Ambapo nikijaribu kunyosha shingo misuli ikikaza inatoa mlio kama mtu akiwa ananyosha vidole vile!,pia hata kwa upande wa mgongo.Pia napata maumivu sana wakati wa kusomaau kufikiri kitu fulani kwa kiina!.Nimetumia madawa mengi na kwenda hospitali kibao napewa Dawa japo tatizo liko pale pale!!.Samahani naomba kama kuna mwenye uelewa/lishawahi kumpata akalitibu/Dakatari/mshauri anisaidie naweza kulicontrol vipi??.