Pindima
JF-Expert Member
- Aug 16, 2011
- 347
- 81
NINALIOGOPA SANA JAMBO
HILI: Amini usiamini, lakini huu
ndio ukweli wenye uchungu!
Hakuna jambo ninalolihofia zaidi
ktk maisha ya ndoa kama
kusalitiwa Na ndio linitialo khofu kuoa! Hiyo
inatosha kuwa silaha ya kuubomoa
moyo wangu, kuiteketeza
nafsi yangu na kuikatili ndoa
yangu na kusambaratisha kabisa!
HILI: Amini usiamini, lakini huu
ndio ukweli wenye uchungu!
Hakuna jambo ninalolihofia zaidi
ktk maisha ya ndoa kama
kusalitiwa Na ndio linitialo khofu kuoa! Hiyo
inatosha kuwa silaha ya kuubomoa
moyo wangu, kuiteketeza
nafsi yangu na kuikatili ndoa
yangu na kusambaratisha kabisa!