Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,834
Baba Kizibo watoto watakuwa vifuniko kabisa..hivi watu wa ccm ugonjwa wa akili huwa mnarithi kwa nani
Mbowe unaimizwa na kisandu ujitokeze useme ukweli kama yeye
Daaah mtu mzima hana cha kufanya....sasa hayo mambo yote unamwambia nani na ili iweje? Ficha ujinga wako hata kwa 2% utaonekana bora....usiwe kama watoto wa kike kila siku unalalamika tu....
Hakuna mtu anaenishangaza kama atangazae bila kuona aibu kuwa ana maadui! Hii mm naona kama si sifa nzuri na inaonesha mtu kushindwa kuishi vyema na wenzake.
Hata wakitokea, binafsi sitawaona kuwa ni maadui wala sitajitangazia uadui nao kabisaaa. Bora useme wapinzani, maadui?
Huyu Deogratius Kisandu siyo central Intelligence kweli huyu??
Angalia uwazi wako unauweka wapi kijana.....huu uwazi uweke kwenye familia yako na sio unasambaza habari kila sehemu, unajishushia heshima, fikiria kila mtu kwa sasa akiona umeandika kitu anawaza kucheka tu maana anajua alieandika yupoje, jitahidi rudisha heshima kama baba wa watoto wanne na sio mvulana wa mtaani.....tumia elimu yako kunyumbua vitu na sio kulia kila mara mtandaoni, au ndio hulka yako kuonekana "HAMNAMO"Mimi napenda uwazi kama SERIKALI ile ya miaka ile ya Uwazi na Ukweli. Mungu anapenda MTU mkweli.
Nani atakupa kura wakati unawavizia dada zao hata kabla ya kupata cheo. Ungepata huo huo ubunge si ingekuwa balaaa!Sasa kama ubunge walininyima, hata mtoto nikose. Akaaaaah
Badala ya kuomba kura uko Lushoto ukaomba mbunye
Utafiti unaonyesha kuwa wale waliowahi kusomea upadri na kisha wakafikia hatua ya kuwa mafrate au ushemasi ama wakawa mapadri na kisha kuasi ama kufukuzwa maisha yao huwa yanakuwa ya ajabu sana!
Hawajatulia, bado wanataka kuruka ruka na sio kuolewa.
Hapana hata usiwaone kuwa ni maadui zako, hata kwa kauli hii tu inaonesha we ni mshari. We unapenda kushindana kiuadui kweli? Nahisi dunia ilishatoka huko zamani sana.Watashindana lakini hawatashinda.
Ingekuwa hivyo asingesema yupo hatarini!Mbona Slaa anaishi maisha mazuri tu.