Kijana huna mke, hapo alienda Dom Kwa Jamaa yake na usikute wako ofisi Moja, kuwa makini tu ila nakushauri kama una roho ndogo acha kumfuatilia usije ukaumiaHabar wana JF,
Naimani mko wazima.
Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife, sijui kwanini lakini ni safari ambayo siielewi kabsa wakuu. Nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu.
Ni kwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabisa, kwasabubu kwanza ni safari ya kushtukiza lakini pia mpaka now sielewi aim ya safari ni nini mpaka now.
Alhamisi amerudi kutoka kazini usiku tunalala ndiyo ananipa taarifa ya kuwa kesho Ijumaa anasafiri, nikamuuliza unaenda wap? Akaniambia kapigiwa simu na dada zake wamemuita ambao wanakaa Singida. Nikamuuliza kunatatizo akasema hapana, ila sijui wanashida gani na mimi ndiyo wamenipigia simu niende.
Kiukweli nilikuwa nimechoka nahitaji kupumzika, sikutaka ku complicate kitu, nikamjibu sawa nikalala. Then asubuhi nikajiandaa nikaenda kazini vizur. Niko job ananipigia simu kuwa ndiyo anatoka home anaelekea stendi kupanda bus. Iikuwa almost kama saa 7 hivi mchana nikamjibu haya na nikamuuliza kama kunakitu chochote anahtaji akasema hapana yuko powa.
Basi nikakata simu lakini kiukweli ghafla akili yangu ilishikwa na wasiwasi juu ya safari yake but sikutaka ku doubt anything nikapotezea. Baadaya kupita kama lisaa akanitumia message kuwa amepata basi but akifika Dodoma atashuka kuna ndugu yake anamchuka then wanaenda wote.
Daah, sikutaka pia ku doubt wala mambo mengi nikamjibu sawa, nikaachana naye nikaendelea na kazi zangu, but bado sikuona sababu ya yeye kushuka Dodoma. By saa 2 ndiyo ananiambia ndiyo wanaondoka Dodoma nikamjibu sawa safari njema tukaacha hivyo. Basi mi nikarud home usiku kwakuwa nilishapita somewhere nikapata chakula nikafika home niko good, nikaoga nikaingia kwa bed nikampigia ananiambia kashafika ila kachoka na safari nikamuacha nikapumzika.
Sasa leo Jpili tumeongea asubuh vizur tu na tukaagana baadae by saa 7 mchana ananiambia ndiyo anataka kurudi leo. Nikamuuliza mbona hukuniambia asubuhi na kwanini usingeondoka asubuhi? Sijaona cha maana anachonijibu, basi nikamwambia haya kama unarudi leo. Tuakaacha baada ya kama nusu saa ananipigia simu ananiambia kuwa yupo stendi, mara gari sijui hakuna, mara zimejaa, mara nimechoka nasikia usingizi, nikamwambia sasa siungebaki ili uondoke kesho asubuhi akasema sawa tukaacha.
Baadae ananitumia message eti amepata gari ila linaishia Dodoma kwaiyo atashuka Dodoma. Aloo nikasema kimoyomoyo hapo Dodoma hapo siyo bure, coz kwenda kashuka Dodoma kurudi baada arud kesho kama kweli kakosa usafiri na tumekubalina anarudi kesho mapema na sidhani kama kweli alikosa usafiri by that time ananiambia kuwa kapata usafiri.
Ila unaishia Dodoma so ataenda kulala Dom, sikutaka ku complicate nikamjibu sawa basi nikaachana nae. Ila cha ajabu baada ya hapo akawa kimya hakusema kama kafika au laa. Yaani ndo ananitumia text saa hii, saa 5 usiku kuwa alifika salama ila alishindwa kuniambia coz vidonda vya tumbo vilimshika akafikia kupumzika. Heheheh nacheka ila najua mwenyewe wakuu but sijamjibu na sitamjibu lakini namsubiri arudi kesho nikitoka kazini anieleze vizuri kuhusu hii safar yake.
Japokuwa mimi siyo mtu wa kumchunguza mwanamke na sipendi kabisa kuchunguza mtu sababu naelewa what’s gonna happen.
Wakuu kama kuna la kuniongezea karibuni sana, uwanja ni wenu.
Wewe ukichepuka humdhalilishi mke? Au mwenzetu Mr perfect?vipi, mke kuchepuka hapo hajamdhalilisha mumewe ?
nna gf sina mke, sijawahichepukaWewe ukichepuka humdhalilishi mke? Au mwenzetu Mr perfect?
Kumbe hata wewe ungepigwa tukio mkuu yaani wakati anamwambia yupo singida itakuwa kweli yupo singida maana tayari mzigo umeshapigiwa dodoma na yeye anajulishwa kuwa ndo amepata Gari kutoka dodoma kwenda singida hivyo basi kidume kilikuwa DodomaUle muda aliokuwa anasema yuko Singida ulitakiwa kuwapigia nduguze hao waliomwita halafu kuwauliza vipi mgeni kafika salama ? Ingekuwa ni kweli wangesema ndio kafika salama halafu unawaomba wampatie simu huyo mgeni uongee naye manake unajifanya kila ukimpigia humpati.. Ukiona taarifa ni za kweli , unajifanya nimepatwa na wasiwasi sana labda kuna jambo baya limetokea nyumbani mpaka hapo utakuwa umeshapata 80% ya movie.
ila ukisikia tu mgeni gani ? Ujue ndo hivyo tena !
Hapana usikariri we unadhani hii dunia watu wema wameishaAku siwezi kwanza nyie mnatania watu
Atakuwa anafundishwa staili mpya ya mnyanduo mkuuTuombe mungu wawe wazima woote mpk sasa hajardi Kurejesha habari
How comes mtu anaondoka kizembe hivo na umemuoa ww,Mi sikutaki radhi kama vp Niue tu kwakweli.
Wewe unaweza kufanya haya au unampotosha mwenzio?
Ulilipa mahari ya udhalilishaji?
Hajafika tu?
Mimi nilishawahi kumshauri kitu jamaa yangu Fulani kuhusu nyumba ndogo yake si akaenda kunisemea, tangu siku hiyo nimekoma kiranga komo.