kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Za saizi waheshimiwa
Wife ni mwalimu wa primary, amepata kazi ya kuwa karani wa sensa. Sasa toka zoezi lianze naona kuna jamaa wanawasiliana mara kwa mara, kwenye simu nimeona amemsave Peter sensa.
Leo asubuhi nimeona jamaa amemtext wife eti tukutane pale pa jana, nikamhoji wife jamaa ni nani akajibu ni karani mwenzie wa sensa sikutaka kuhoji sana hilo.
Ila kwa kweli nina wasiwasi huenda nagongewa.
Nifanyaje wakuu?
Wife ni mwalimu wa primary, amepata kazi ya kuwa karani wa sensa. Sasa toka zoezi lianze naona kuna jamaa wanawasiliana mara kwa mara, kwenye simu nimeona amemsave Peter sensa.
Leo asubuhi nimeona jamaa amemtext wife eti tukutane pale pa jana, nikamhoji wife jamaa ni nani akajibu ni karani mwenzie wa sensa sikutaka kuhoji sana hilo.
Ila kwa kweli nina wasiwasi huenda nagongewa.
Nifanyaje wakuu?