Nina wasiwasi 99% kuwa Diamond na Zari wanatudanganya

Hahahaaa nenda kawaombe uwalee wewe, maisha ya watu yakuuma nini. Zaa wako walee utakavyo, umezidi wivu hadi ni kama mwili wako unawashwa haswa.

Hautaki eeeeeh, pole yako kamvizie D uzae nae.
 
Sema "ngoja niendelee kutazama movie".
5befc67d4d2c4074d9cb273839fa1d4b.gif
 
Ni muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari.
Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!
Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!

Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mke wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!

Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.

Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
View attachment 470888

mke wa zari ni nani...?
 
Me mara ya kwanza kabisa nilikuwa naamini wanatafuta kick Ila Sasa Imepita miaka mingi Sana nadhani wapo real
 
Hata mimi nafikiri Magu na Makonda wanatuektia tu. Mwisho wa siku ukweli utajulikana.
 
Hata kama ni watu maarufu,Kuna mambo mengine siyakufatiria kabisa!

Usijishughulishe na mambo yasiyokuhusu na yasiyokupa faida yoyote.
 
Ni muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari.
Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!
Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!

Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mke wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!

Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.

Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
View attachment 470888
Pumba zingine ni sheda tupu haya sisi tufanyaje mkuu!?
 
Me mara ya kwanza kabisa nilikuwa naamini wanatafuta kick Ila Sasa Imepita miaka mingi Sana nadhani wapo real
Wakati ule majority wanaamini Ivan na Zari wanamchezea Mond ili wamuingize king, niliwahi kuuliza hapa hivi kweli kuna mwenye moyo wa kumuacha "mke" wake akapigwe miti kirahisi namna hiyo!!!

Achana na machungu ya kumegewa bhana... watu watasingizia kila mahali, lakini eti amwachie mwanamke ambae alikuwa sehemu ya maisha yake awe anabiringishwa bingili bingili; thubutu!!!
 
Back
Top Bottom