tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,405
Kabisaa hawa ndio wachawi walio kubuhu...wanadanganyana hawadanganyan inamuhusu nini...wivuNenda kaolewe ww umpe mapenzi ya dhati!
Dume zima umbea umbea tu!
Kabisaa hawa ndio wachawi walio kubuhu...wanadanganyana hawadanganyan inamuhusu nini...wivuNenda kaolewe ww umpe mapenzi ya dhati!
Dume zima umbea umbea tu!
Sema "ngoja niendelee kutazama movie".
Tatizo la kuota ndoto ukiwa unakimbizwa na Siafu unaishia kuwa na maluweluwe ndio kilichomkuta mleta uzi, Anatoa hoja kama amebanwa na mfupa kooni mambo ya zari yanatuhusu nini?
Ni muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari.
Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!
Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!
Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mke wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!
Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.
Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
View attachment 470888
View attachment 470897
Ndo maana siku hizi mademu wanasumbuliwa sana na stress!! Eti ndo unakuta boyfriend wake mtu huyo!!!
Mmh maskini dunia yashilaga yaani mwanaume unajipinda kutype pumba za kumuonea wivu mwanaume mwenzio.
Hapo ulipo nadhani una page insta inayoongoza kutaka DNA ya nillan na tiffa
kwakweli mtoa mada abaki na nafsi yake akila popcorn
Pumba zingine ni sheda tupu haya sisi tufanyaje mkuu!?Ni muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari.
Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!
Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!
Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mke wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!
Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.
Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
View attachment 470888
Good pointUkishajua itakusaidia nini? Hivi unapofuatilia mambo ya watu,wakati huo mambo yako hufanywa na nani?
Boyfriend au mume kabisa. Wanaume wa Dar es salaam hao.View attachment 470897
Ndo maana siku hizi mademu wanasumbuliwa sana na stress!! Eti ndo unakuta boyfriend wake mtu huyo!!!
Wa Dar except wa huku Tandika....Boyfriend au mume kabisa. Wanaume wa Dar es salaam hao.
Wakati ule majority wanaamini Ivan na Zari wanamchezea Mond ili wamuingize king, niliwahi kuuliza hapa hivi kweli kuna mwenye moyo wa kumuacha "mke" wake akapigwe miti kirahisi namna hiyo!!!Me mara ya kwanza kabisa nilikuwa naamini wanatafuta kick Ila Sasa Imepita miaka mingi Sana nadhani wapo real
Hata wewe hapo kwenye red umekosea pia.Mkuu umekosea kitype hilo neno magasho? Ulimaanisha mashoga?