Prince Akeem
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 884
- 375
Wakuu zaa saa hizi nimepimwa figo, kibofu ini ila vyote havina shida kwa mujibu wa ct scan wakapima mkojo pia hauna shida ila sasa ninakojoa damu siku ya tatu.
Naombeni msaaada kama kuna mtu ashapata hii shida
Naombeni msaaada kama kuna mtu ashapata hii shida