Mr Mose
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 368
- 524
Habari members Nina shida na million 15 haraka Sana ndani ya wiki hii lakini Sina chochote Cha kuuza chenye thamani ya mil 15 Wala Sina asset ya kuweka dhamana nikakope bank au kwa mtu yoyote. Wala Sina ndugu au mtu wakumipa hiyo pesa nipeni mawazo nifanyeje ( legal or illegal) nipate hiyo pesa