Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,456
- 2,437
Shalom,
Hatimaye nimefika Iringa baada ya kuamua kuondoka nyumbani na bado sijapata kazi wakuu. Ninachoshukuru kwa sasa angalau nimepata hifadhi japo sina uhakika kama ni ya kudumu.
Pamoja na hayo, nina akiba yangu ya pesa kama Tsh. 60,000/= ambayo nimeona ni vyema niiwekeze katika biashara huku nikiendelea kutafuta namna sahihi ya kujikwamua.
Nahitaji mawazo yenu wakuu, nifanye kitu gani kwa hicho kiasi cha pesa kwa hapa Iringa mjini?
Awali ya yote, SHUKURANI!
--------
Pitia mada hii kwa ushauri wa kupata wazo la biashara
Hatimaye nimefika Iringa baada ya kuamua kuondoka nyumbani na bado sijapata kazi wakuu. Ninachoshukuru kwa sasa angalau nimepata hifadhi japo sina uhakika kama ni ya kudumu.
Pamoja na hayo, nina akiba yangu ya pesa kama Tsh. 60,000/= ambayo nimeona ni vyema niiwekeze katika biashara huku nikiendelea kutafuta namna sahihi ya kujikwamua.
Nahitaji mawazo yenu wakuu, nifanye kitu gani kwa hicho kiasi cha pesa kwa hapa Iringa mjini?
Awali ya yote, SHUKURANI!
--------
Pitia mada hii kwa ushauri wa kupata wazo la biashara