kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,057
- 2,163
Usiitoe MAMA niletee nitailea tu ! ila ACHA umalaya ukasingizia shetani ukiitoa nakuombea DUA ufe nayo maana hiyo ni dhambi.
Uzinzi unakusumbua usisahau kupima na ukimwi manake hata kondom uliona shida kuvaaHi guys i hope mko poa,
Nimekuja kwenu kuomba ushauri kwa sababu najua hapa JamiiForums hatujuani tofauti na mitaani.
Mwezi uliopita mpenzi wangu alisafiri kikazi nje ya nchi na hata sasa hajarudi ila yuko mbioni kurudi.
Alipoondoka kama wiki hivi, rafiki yake alikuja kutuona tunaendeleaje, bahati mbaya watoto nilikuwa nimewapeleka kwa mama yangu wakashinde huko weekend yote hiyo, so shemeji alinikuta peke yangu.
Sijui tulianza anzaje, nilikua na feelings kali sana, nilitoa wine tukawa tunakunywa huku tukizungumza mawili matatu, as time went on tukaanza michezo michezo ya kutaniana, nasikitika mwisho wa utani huo kwa bahati mbaya shetani akatupitia tukawa tumezini na baadae tukahamia bedroom.
Hadi sasa tumeshafanya kama mara nane hivi, tumekua pia tuki meet katikati ya wiki, i accept that he is real good than my hubby.
On Tuesday niliamka na homa kali sana kama mtu mwenye Malaria hivi, nikaenda hospital kucheck Malaria but to my surprise naambiwa Niko pregnant, I was shocked, kwa sababu baada ya hubby kusafiri nilipata period, so kwa vyovyote itakuwa ya shemeji.
Nilikuwa najiuliza sijui niitoe kabla hubby hajarudi kwa sababu anarudi ndani ya siku 4 au 5 au nimsubiri aje nimsukumie yeye? Ila pia nina wasiwasi mtoto akija kufanana na shemeji itakuaje?
Nifanyaje?
Baadae atakuja kusema wanaume ni wanyamaa huyo jamaa labda awe bwege akikuta na mimba kaz unayo na ukwel lazma ujulikaneShetani aliwapitia mkaenda wapi?
Mke wa mtu Malaya kama wewe ni hasara sana.
Mrejesho plzHi guys i hope mko poa,
Nimekuja kwenu kuomba ushauri kwa sababu najua hapa JamiiForums hatujuani tofauti na mitaani.
Mwezi uliopita mpenzi wangu alisafiri kikazi nje ya nchi na hata sasa hajarudi ila yuko mbioni kurudi.
Alipoondoka kama wiki hivi, rafiki yake alikuja kutuona tunaendeleaje, bahati mbaya watoto nilikuwa nimewapeleka kwa mama yangu wakashinde huko weekend yote hiyo, so shemeji alinikuta peke yangu.
Sijui tulianza anzaje, nilikua na feelings kali sana, nilitoa wine tukawa tunakunywa huku tukizungumza mawili matatu, as time went on tukaanza michezo michezo ya kutaniana, nasikitika mwisho wa utani huo kwa bahati mbaya shetani akatupitia tukawa tumezini na baadae tukahamia bedroom.
Hadi sasa tumeshafanya kama mara nane hivi, tumekua pia tuki meet katikati ya wiki, i accept that he is real good than my hubby.
On Tuesday niliamka na homa kali sana kama mtu mwenye Malaria hivi, nikaenda hospital kucheck Malaria but to my surprise naambiwa Niko pregnant, I was shocked, kwa sababu baada ya hubby kusafiri nilipata period, so kwa vyovyote itakuwa ya shemeji.
Nilikuwa najiuliza sijui niitoe kabla hubby hajarudi kwa sababu anarudi ndani ya siku 4 au 5 au nimsubiri aje nimsukumie yeye? Ila pia nina wasiwasi mtoto akija kufanana na shemeji itakuaje?
Nifanyaje?
amtosha kwa kweliwewe shetani amekupitia mara ya kwanza ya pili ya tatu ya nne mpaka ya nane na kila siku anapita akikuvua chupi ukakubali.... shetani amekuzidi akili pole....
mkanywa wine ,, mkaanzia sebuleni mpaka chumbani... mkakunajana vizuri tu shetani akiwa anapita tu......
ushauri ni kuwa mzalie mumeo huyo mtoto tu atalea matunda ya rafiki ake ya kukukuna vizuri mpaka unamsifia na kumsahahu mumeo.......
jifanye surprise am pregnant hubby sijui ... huku ukiendelea kumpa papuchi yako,.....
nimechukia umeniudhi unazini na rafiki wa mumeo unampa kavu anakukojolea humo ndani jamani... umetiana nae ndani ya nyumba ya mumeo kweli? kwanza huna heshima mama huo ni ukweli mchungu..... katubu kwa muumba wako la sivyo unaweka doa ndoa yako lisilofutika....
Mimba utatoa UKIMWI JE ??
Yaani umekubali kutiwa kavu kavu halafu unajiita mke wa mtu.
Kweli kuoa bado nipo nipo kwanza
wanawake wengine akili zao kama kuku..!!
Acha hasira na matusi, mbona wengine mnachepuka sana tu mpk mmepoteza hesabu mara ngapirachel peterson wewe ni ------ kabisa, hujitambui na ni malaya uliyekubuhu,
True my broda trueMimba utatoa UKIMWI JE ??
Yaani umekubali kutiwa kavu kavu halafu unajiita mke wa mtu.
Kweli kuoa bado nipo nipo kwanza
wanawake wengine akili zao kama kuku..!!