Nina mimba na mtoto ana miezi minne, naomba ushauri wenu nifanyeje?

Nyie watu hebu
Ww ndo umekurupuku mm nampa ushaur kutokana na niliyoyashahudia akiendelea kumnyonyesha mtt atakua anaharisha mara kwa mara na uwezekano wa kumbemenda mtt ni asilimia kubwa sana anachotakiwa kufanya n kumuanzishia maziwa yale ya kopo na lishe iliyokua imara. Halaf usipende kujifanya mjuaji sana vingine si lazma usomee au uambiwe na mtu mazingira ninayoishi ni elimu tosha.
Acheni hiya mafubzo yenu!!!


Dadq mtoa mada HAKUNA KITU KINAITWA KUBEMENDA MTOTO!!

UMEKUWA MZEMBE KULA
HUNA MUDA NA MTOTO
UNEJIWEKEA MECHANISM YA KUSHINDWA KUTENGENEZA MAZIWQ YENYE VIEUTUBISHO KWA WOGA WAKO NA UKIFANYA MCHEZO MTOTO UNAMKOSA KWELI!!!

NARUDIA KULA VIZURI
RELAAAX
JOPE MUDA WA KUPUMZIKA
ACHA KUANGALIA UTAONEKANAJE!!
LEA MWANAO LEA MIMBA YAKO!!!
 
Wataalam wa nini?
Msimix myth mlizoaminishwa na taaluma za watu
Yani nashangaa wanashindwa kutumia akili ya kawaida kabisa kufikri ,eti akili ya mazingira na mazoea, yani sijuhi nini ila Taifa letu kwa kiwango kikubwa lina watu wanaokumbatia ujinga.
 
Kama hukunielewa ungekaa kimya!
Kukuelewa kuwa unaamini kuhusu kuharibika maziwa na kubemenda mtoto(nasikia hata aibu kutamka hili neno baada la elimu yote ya uzazi na malezi niliyonayo)
HAKUNA HICHO KITU!!

KINACHOFANYA MTOTO ADHOOFIKE NDICHO HICHI MNAONGEA HAPA!!

HOFU NA STRESS NA AIBU NA KUMKACHA MTOTO NDIKO KUNAPELEKEA HIYO MNAITA MTOTO KUHARIBIKA SIJUI MAZIWA KUCHACHA!!!
LISHENI MTOTO VIZURI
TUNZA MAZINGIRA YAKE
VYOMBO ANAVYOTUMIA
ANZA KUMSUPPORT MTOTO NA VYAKULA VINGINE VYEPESI.
KULA VIZURI , I MEAN VIZURI HASA
PUMZIKA MUDA MREFU
FURAHIA BARAKA YA UUMBAJI NDANI YAKO
OMBEA WANAO

NYONYESHA MWANAO MPK MIMBA YA MIEZI 7-8
kila kitu poa kabisa!!!
 
Kukuelewa kuwa unaamini kuhusu kuharibika maziwa na kubemenda mtoto(nasikia hata aibu kutamka hili neno baada la elimu yote ya uzazi na malezi niliyonayo)
HAKUNA HICHO KITU!!

KINACHOFANYA MTOTO ADHOOFIKE NDICHO HICHI MNAONGEA HAPA!!

HOFU NA STRESS NA AIBU NA KUMKACHA MTOTO NDIKO KUNAPELEKEA HIYO MNAITA MTOTO KUHARIBIKA SIJUI MAZIWA KUCHACHA!!!
LISHENI MTOTO VIZURI
TUNZA MAZINGIRA YAKE
VYOMBO ANAVYOTUMIA
ANZA KUMSUPPORT MTOTO NA VYAKULA VINGINE VYEPESI.
KULA VIZURI , I MEAN VIZURI HASA
PUMZIKA MUDA MREFU
FURAHIA BARAKA YA UUMBAJI NDANI YAKO
OMBEA WANAO

NYONYESHA MWANAO MPK MIMBA YA MIEZI 7-8
kila kitu poa kabisa!!!
Mimi usinifundishe kulea ninao waliopishana hivyo hivyo kwa miezi nalea wanangu wote wawili wako tu vizuri ukitaka kuwaona ntakuonyesha, sikusema naamini katika kubemenda japo unakionea Aibu ila limetamkwa Mara nyingi hivyo ilikubdi ulisome, ila nilichosema ni kwamba hata mimi nilipitia katika hali apitiayo huyu Dada mtoto aliharisha sana choo chenye utelezi cha kijani,mtoto alidhoofika japo hospital hawakuwahi kuniambia kama anaugua ugonjwa wowote zaidi ya kuning'ang'aniza nimnyonyeshe Mimi nna ishi na jamii na katika jamii kuna mambo yake.

Hivyo basi nilipokua nikimnyonyesha mwanangu roho ilikua inaniuma sana yaani nilikua siyaamini yale maziwa yangu, nilichanagnyikiwa maana wakwe zangu walitaka nimuachishe mtoto kunyonya wakati hospital walitaka niendelee hivyo basi ilifika sehemu ikawa nahangaika na mtoto watu wanaonizunguka hawanisaidii wananicheka nikaona isiwe shida nikamuita mama yangu yeye ndie aliyeniamulia kuto kumnyonyesha mtoto na kweli mtoto yuko vzr mpaka sasa!

Kwenye comment zangu zoote nilizotoa sidhani kama kupo nilipotamka neno kubemenda na kuchafuka kwa maziwa (except hii) hivyo usinineneee nisichokisema nimekupa my life experience
 
Habar zenu wana jf!! Samahani sana kwa usumbufu, naombeni msaada wenu nifanyeje mwenzenu yamenikuta nipo njia panda sina cha kufanya.

Mwanangu bado mdogo miezi minne tu sasa na tayari nina ujauzito. Mtoto kashaanza kuhara kila siku na anazidi kunyong'onyea tuu. Hospitali walimpima hana tatizo, je nifanyeje? Nawaombeni sana mnisaidie ili niokoe afya ya mwanangu.

Najua kuna watu watanitukana ila yote sawa nastahili, ushari wako ni muhimu.

Asanteni.
Haraka sana acha kumnyonyesha mtoto.maana hayo maziwa yako nfo chanzo cha yy kuhara kutokana na mvurugiko wa Homoni.
 
Huyo mtoto mdogo usimnyonyeshe maan maziwa ya aliye tumbon ndo yanamdhur nunua maziwa fresh ya ng'ombe uwe unampa mpaka ikifika miez sit hiv unamuanzusha na kauji laiiiin mtot atakuwa bila shaka lakin utafute dawa za kuharisha na kuondosh uchafu wa maziwa yaliyo gand ndan ya tumbo kwa mtoto mkubwa ahsante hiyo ilitokea kwa rafiki yangu na mtot waKe na amekuwa vixur tena ana afya
 
Kama watoto wote ni wa baba mmoja hamna shida hata kidogo wewe kula vizuri umnyonyeshe mtoto kwa kwenda mbele. Kama ulichepuka utambemenda mtoto usimnyonyeshe kabisa mpe maziwa ya ngombe
 
Unachotakiwa kufanya kwanza jiamini usijali watu wanasema nini.pili acha kumnyonyesha Mpe maziwa ya ngo'mbe.
 
Ukisikia kubemenda mtoto ndio huko. Kinachomfanya mtoto kuhara ni kwamba umewahi kumbebea ujauzito kabla ya muda na kuna uwezekano ananyonya,sasa kwakuwa amekuwa akinyonya sperms za mwanaume yawezekana akawa sio baba yake,ni lazima aharishe na ni jambo ambalo kama usipokuwa makini anaweza kupoteza maisha.

Acha kumnyonyesha na muanzishie uji wa lishe ili walau aweze kuziba gap ambalo kakumbana nalo. So far,ulipaswa kubeba ujauzito walau akiwa na miezi nane mtoto. Pole kwa yaliyokukuta

Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom