Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Polen na kifo cha ghadaffi wakuu!!eti wadau,mimi ntakua na shida gani maana nina aibu mpaka najhc mim co binadamu wa kawaida,yani nikiwa naongea na mtu yeyote hata ndugu yangu wa damu cwezi muangalia uson ingawa kwa totoz huwa najitu2mua kiaina...sasa wadau hi k2 inasababshwa na nin na solutions zake ni zipi?